ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Dodoma kuna program.ya kupanda miti kwa kushirikiana na JKT, TFSSisi dodoma tumeshindwa kupanda mitii
Which bag?Kojoa ulale.
Ruto is in London to secure the bag as we speak.
Wacha mama atafute kura 😂 😂
Wako wengi. Wengine wamenunua apartments Zanzibar hukoWapo wengi tu, TZ ila sisi hatuna shobo nao.
Kuna wengine waliondoka kwa kuponda ,baadaye walivyoenda huko kwingine wakaanza kurudi wenyewe kimya kimya.
TZ kuna vitu huwa wanaona uvivu kuvumilia.Wako wengi. Wengine wamenunua apartments Zanzibar huko
Americans nao ni watu wa kushikwa akili kirahisi. Wanadanganywa sana na Kiki za wakenya mitandaoni. Kuna mwingine nilikutana naye paje. Alifungua biashara Kilimani, siku moja akakuta wamempora kila kitu. Mbona yuko zenji huko. Na kanunua apartment
Si mnasemaga Tanzania ina low Internet connectivity kwenye data zenu uchwara za online.Wangekuwa Wakenya wanaambia huyu demu kwa comments aje Kenya instead of Tanzania angekuwa point of discussion bungeni Vumbistan.
Leta source yako lakini isiwe ya mama ngina news kiosk tuuIf this this is the source you believe. Basi jua hua inawaka usiku. 🤣 🤣 🤣
Leading kwenye karatasi 🤣🤣🤣the key is Kenya's leading....!
Source maana hata mimi naweza kuweka picha nikasema ni dispensary flani ina cath labCath lab Tenwek Hospital, Bomet County.
View attachment 3391205View attachment 3391206View attachment 3391207View attachment 3391208
View: https://www.youtube.com/live/nleIZ_bmInU?si=e3oQUqKJ41E1VTIs
MY TAKE
Hivi jengo la abiria Mwanza airport limefikia wapi?
Ahadi ya Prof. Mbarawa
View: https://youtu.be/g5AhWZXYTvg?si=YfPg6LgYh_LaWUKm
View: https://youtu.be/HuMKB36wrdI?feature=shared
una uhakika kalipwa?hehehe alipewa mzawa tycoon ajenge
kuna nani hata anafatilia acha watu wajipigie pesa ndio maisha tuliochagua
Hawatupeleki. As you can see from the comments, Kenyans are not crying like you guys. They're just playing along. Ngoja mtu aje Tz alafu Mkenya acomment eti aje Kenya pia, itakuwa ni vilio hadi bungeni. 🤣 🤣Si mnasemaga Tanzania ina low Internet connectivity kwenye data zenu uchwara za online.
Ngoja wawapelekee moto.
View: https://vm.tiktok.com/ZNdfth4cT/ utasikia kunyan TZ tunajipendekeza kwa wasouth!
Kenya ni nchi ya kihuni.Tafuta ya kwao hata kwa tochi Kenyatta na Mzee Mandela hizi harakati ndiyo kwasasa zinawauma sana baada ya kugundua kuwa walikosea sana Kipi ndi Mandela anafariki Jakaya alipata wasaa wakuhubia viombo vya habari kundurenda vianza kuilaumu serikali yao kuwa hawakufanya chochote kipindi cha ukoloni kuwasaidia wafrica wenzetu naona hiyo ndiyo inayo waumiza kichwa sazi na walishachelewa