Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni nini maana ya urge!?
Ameomba ama ametoa ushauri!?
Lete ushahidi hapa wa usemacho.
Usisahau tunapokea raia wenu wengi JKCI kuwatibu moyo.
Rai wengi ndio raia wangapi? 2,300 Tanzanians are coming to Kenya daily to seek for medication. Most of these 2,300 are wealthy Tanzanians who can afford Kenyan medical sector.
 
Kwanini 84% ya wawekezaji ni ya kipindi chote cha uchimbaji?? Huu uwekezaji unaofanywa kwanini usigharamikiwe na kinachozalishwa kwanza halafu baadaye Serikali ipate hata 80% ya faida?? Hapo ndo wajanja wakaja na akili kwamba always wanapata hasara lakini hawaondoki..
Na kama wanapata faida siye ndo wajinga..
Serikali inapata mapato mengi tuu kwemye mining na oil and gas.
16% free carried shares
PAYE
Workers compensation
Skills development levy
CSR
corporate tax
na vitozo vingine vidogovidogo ukija kujumlisha serikali inaondoka na kama 60% ya mapato yote ya mining
 
Bond is not PPP you idiot, they are not going to recoup their money from the stadium but the government will be paying them interest for 15yrs at a rate of 15%, at the end of 15yrs the government will return to them the principle amount they way it was.

Do you even know how bonds work?
Do you hear yourself talking? unafikiri hiyo interest rate kwa 15 years ni kitu kidogo given the nature of over inflated price that you are paying for Talanta. embu piga hesabu vzr uone jinsi mnavoliwa.
 
😂 😂 Hii sijui mlicopy wapi, lakini si Kenya.

Nairobi Railway City when fully complete is I think bigger than our current CBD, and you're here comparing with some dingy, backwater bus-sheds with designs straight from the 80s 😂😂
ujenzi wake uko wap na ulianza lini??😂
 
Exactly. Mimi nawashagaa sana wakenya wanasema ni wasomi wanashindwaje kujua miradi yenye multplier effects?
Mzee hao wnapenda vitu cosmetic sana kuanzia kwenye data zao hadi kwenye maisha yao ya kila siku hao ni bomu lililo jirani yetu siku likilipuka tutapata shida sana huku kwetu tuliona wakati wa uhaba wa USD walikuja hadi huku kutuletea artificial scarcity sasa siku bomu likilipuka itakuwaje.
 
Whatever Tanzania is receiving in 5yrs Kenya does in 1yr. Kwani hata huoni aibu kupost hizi takataka?

1751564716803.jpeg
 
Ruto alianza kuipigia debe.

Nadhani kabla hajamaliza muda wake atakuwa ameshawapa.
Unadhani tutapea Mchina Bandari ya Mombasa vile mlipea mwarabu Bandari ya Dar? For your information payment of SGR phase 1 and 2A zinaisha 2029.
 
More of Njedengwa Dodoma. 👇🏾
IMG_9525.jpeg
IMG_9527.jpeg
IMG_9156.jpeg
IMG_9528.jpeg
IMG_9529.jpeg
IMG_9523.jpeg
Njedengwa is an upcoming city within the city of Dodoma. Too many projects..

Dodoma itakua centers tatu au nne hivi..
1. Dodoma old town together with NCC link. 👇🏾 sky line yake
IMG_7956.jpeg
IMG_9176.jpeg
2. Dom government city
3. Njedengwa
4. Airport city near Msalato international airport.

Kimsingi Dom ni 🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom