Lete chanzo kutoka credible source.So zako ndio sio feki? Huwa mkishindwa lazima mkuwe na excuses.
Nimekuletea chanzo makini kabisa sio kama ulivyoleta wewe.
Lete chanzo kutoka credible source.So zako ndio sio feki? Huwa mkishindwa lazima mkuwe na excuses.
Rai wengi ndio raia wangapi? 2,300 Tanzanians are coming to Kenya daily to seek for medication. Most of these 2,300 are wealthy Tanzanians who can afford Kenyan medical sector.Ni nini maana ya urge!?
Ameomba ama ametoa ushauri!?
Lete ushahidi hapa wa usemacho.
Usisahau tunapokea raia wenu wengi JKCI kuwatibu moyo.
Mchina hapa alijichanganya, speed konokono mzigo wa mmachinga, hivi hii whitelephant itakaa ibreakeven?
Kutoka Mombasa mpaka naislum containers tano 😂😂
View: https://vm.tiktok.com/ZMS4DkFqU/
Kenya Tourism Board sio credible source? Bure kabisa.Lete chanzo kutoka credible source.
Nimekuletea chanzo makini kabisa sio kama ulivyoleta wewe.
Asante kwa habari ya 2020.
When Tanzania becomes the only option
Tuesday, February 04, 2020 — updated on June 29, 202
0
So zako ndio sio feki? Huwa mkishindwa lazima mkuwe na excuses.
Akileta hiyo natoka JFLeta development expenditure kwa bajeti ya 2025 ya Kenya versus tanzania
Nishaachana na wewe mazeh maana wanipotezea muda.Kenya Tourism Board sio credible source? Bure kabisa.
Serikali inapata mapato mengi tuu kwemye mining na oil and gas.Kwanini 84% ya wawekezaji ni ya kipindi chote cha uchimbaji?? Huu uwekezaji unaofanywa kwanini usigharamikiwe na kinachozalishwa kwanza halafu baadaye Serikali ipate hata 80% ya faida?? Hapo ndo wajanja wakaja na akili kwamba always wanapata hasara lakini hawaondoki..
Na kama wanapata faida siye ndo wajinga..
Do you hear yourself talking? unafikiri hiyo interest rate kwa 15 years ni kitu kidogo given the nature of over inflated price that you are paying for Talanta. embu piga hesabu vzr uone jinsi mnavoliwa.Bond is not PPP you idiot, they are not going to recoup their money from the stadium but the government will be paying them interest for 15yrs at a rate of 15%, at the end of 15yrs the government will return to them the principle amount they way it was.
Do you even know how bonds work?
siku hizi mikataba inasainiwa hola😂😂una uhakika kalipwa?
ujenzi wake uko wap na ulianza lini??😂😂 😂 Hii sijui mlicopy wapi, lakini si Kenya.
Nairobi Railway City when fully complete is I think bigger than our current CBD, and you're here comparing with some dingy, backwater bus-sheds with designs straight from the 80s 😂😂
Mzee hao wnapenda vitu cosmetic sana kuanzia kwenye data zao hadi kwenye maisha yao ya kila siku hao ni bomu lililo jirani yetu siku likilipuka tutapata shida sana huku kwetu tuliona wakati wa uhaba wa USD walikuja hadi huku kutuletea artificial scarcity sasa siku bomu likilipuka itakuwaje.Exactly. Mimi nawashagaa sana wakenya wanasema ni wasomi wanashindwaje kujua miradi yenye multplier effects?
Wanataka wajenge harakaharaka wafanane na miji ya wazungu lakini wanasahau hawana base.Exactly. Mimi nawashagaa sana wakenya wanasema ni wasomi wanashindwaje kujua miradi yenye multplier effects?
Whatever Tanzania is receiving in 5yrs Kenya does in 1yr. Kwani hata huoni aibu kupost hizi takataka?![]()
16 African nations opt to treat patients in Tanzanian hospitals - Daily News
DODOMA: SIXTEEN African nations have brought their patients for treatment in Dar es Salaam major hospital in the past four years from March 2021 to March this year. The countries opted to bring their patients for treatment due to a significant government investment in strengthening specialized...dailynews.co.tz
Ruto alianza kuipigia debe.Mchina hajajichanganya mkuu target yake ni Mombasa port. Wataitoa tuu maana hakuna namna.
Unadhani tutapea Mchina Bandari ya Mombasa vile mlipea mwarabu Bandari ya Dar? For your information payment of SGR phase 1 and 2A zinaisha 2029.Ruto alianza kuipigia debe.
Nadhani kabla hajamaliza muda wake atakuwa ameshawapa.
Is it 100% the GoK running the Mombasa Port?Unadhani tutapea Mchina Bandari ya Mombasa vile mlipea mwarabu Bandari ya Dar? For your information payment of SGR phase 1 and 2A zinaisha 2029.
Mombasa Port is fully run by KPA which is a government entity.