Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Nimechoka.
Is that a gourd?
1751488664235.png



View: https://youtube.com/shorts/xrAvtN2AtmA?si=12BH4gxdvTyaAkKQ
 
Wapo wengi tu, TZ ila sisi hatuna shobo nao.

Kuna wengine waliondoka kwa kuponda ,baadaye walivyoenda huko kwingine wakaanza kurudi wenyewe kimya kimya.
Wengi wamerudi kimya kimya,na huko kenya sasa hivi hawatakiwi,nchi ambayo wenyewe kwa wenyewe wanabaguana hawawezi kuishi na wa kutoka mataifa mengine
 
Another render to make Darslum sh*t bricks 😂 😂

Nairobi Railway City
- Work has already began on the first 2200 housing units on the site.
* Total upon completion - 30,000 units.
* 70 - 100 highrise towers of 24 floors each (About 10 times more than they have in Mikochini na sijui Morocco combined)
* Money is available 😂😂. Building capacity ndio tunakosa sasa hivi. The housing fund is overflowing.

  • Prerequisite pedestrian underground tunnel weeks from competition.
  • Combine Railway City + Nairobi River Park + Affordable housing, I dare say Nairobi will be unrecognizable in 5 years.
Bongoslum hoiyeee.. Mama Tano tena 😂


View: https://www.youtube.com/watch?v=0O_MCUGS5og

View attachment 3391815

wacha nicheke kwa nguvu sana hii project inafunguliwa mara mbili 😂😂😂😂😂
 
Wengi wamerudi kimya kimya,na huko kenya sasa hivi hawatakiwi,nchi ambayo wenyewe kwa wenyewe wanabaguana hawawezi kuishi na wa kutoka mataifa mengine
Kenya walikimbia labda ugumu wa maisha. Ila Nairobi ilivyojengwa, ni kwaajili ya wageni.

Kuna estates au smart cities ambazo hakuna walalahoi wanakaa huko.

Ni mji wenye segregated communities.

Huwezi kukuta maandamano huko Karen, Runda, Muthaiga, Upper Hill, Westlands.

TZ unajua ukiacha NHC, ni watu wachache sana wamejenga nyumba maalum kwaajili ya kupangisha
 
Wapo wengi tu, TZ ila sisi hatuna shobo nao.

Kuna wengine waliondoka kwa kuponda ,baadaye walivyoenda huko kwingine wakaanza kurudi wenyewe kimya kimya.
Wako wengi. Wengine wamenunua apartments Zanzibar huko

Americans nao ni watu wa kushikwa akili kirahisi. Wanadanganywa sana na Kiki za wakenya mitandaoni. Kuna mwingine nilikutana naye paje. Alifungua biashara Kilimani, siku moja akakuta wamempora kila kitu. Mbona yuko zenji huko. Na kanunua apartment
 
Wako wengi. Wengine wamenunua apartments Zanzibar huko

Americans nao ni watu wa kushikwa akili kirahisi. Wanadanganywa sana na Kiki za wakenya mitandaoni. Kuna mwingine nilikutana naye paje. Alifungua biashara Kilimani, siku moja akakuta wamempora kila kitu. Mbona yuko zenji huko. Na kanunua apartment
TZ kuna vitu huwa wanaona uvivu kuvumilia.
  • Sisi tunaongea Kiswahili chetu (mambo ya language barier)
  • Dar es salaam ni kubwa (wanakaa mpaka Kigamboni, ambako barabara za mitaa bado)
  • Residence permit mpaka uwe na kitu cha kufanya
  • Sera ya ardhi kwa wageni
-
 
Back
Top Bottom