Mkuu ya kweli haya au janja janja tu hizi!?
Mchina hapa alijichanganya, speed konokono mzigo wa mmachinga, hivi hii whitelephant itakaa ibreakeven?
Kutoka Mombasa mpaka naislum containers tano 😂😂
View: https://vm.tiktok.com/ZMS4DkFqU/
Nachojua Kuna huo mradi wa Uranium Mkuju River kule Namtumbo siku nyingi ila unatarajia kuanza uzalishaji mapema mwakani,Kuna kampuni ya USA kule.Mkuu ya kweli haya au janja janja tu hizi!?
Ni ya uchimbaji au Kuna vinu vya kurutubisha uranium?Nachojua Kuna huo mradi wa Uranium Mkuju River kule Namtumbo siku nyingi ila unatarajia kuanza uzalishaji mapema mwakani,Kuna kampuni ya USA kule.
Ila anayoongea huyu mzungu sijui kama ni kweli au laa.
Nilimsikia Rais akimwambia DG Mpya wa Tanesco waanze kufikiria kujenga vinu vya nuclear.Ni ya uchimbaji au Kuna vinu vya kurutubisha uranium?
Ya kweliMkuu ya kweli haya au janja janja tu hizi!?
He is too dumb to see. 🤣 🤣 🤣 🤣This is MGR you idiot.
Enyewe ndio nini?59%???
Enyewe hiii nchi ya madini ni LDC proper!
View: https://x.com/BD_Africa/status/1940717154745438689?t=gwPE2-TyMSKTQKg1bguT-Q&s=19View attachment 3392699
My Take
Kwa upande wa Tanzania mapema mwakani tunaanza kuuza umeme Zambia baada ya mradi wa TAZA kukamilika.
Kenya madini mnayo ila wanachimba BATUK na Wachina wahuni59%???
Enyewe hiii nchi ya madini ni LDC proper!
Ng'ombe ni ng'ombe tu.He is too dumb to see. 🤣 🤣 🤣 🤣
Kenya madini mnayo ila wanachimba BATUK na Wachina wahuni
Nilimsikia Rais akimwambia DG Mpya wa Tanesco waanze kufikiria kujenga vinu vya nuclear.
Sio jambo la ajabu maana hata Uganda na Kenya wako kwenye Mpango wa kujenga hizo reactors,Uganda ndio Yuko ahead zaidi.
View: https://www.instagram.com/p/DLmhGw-q1TI/?igsh=Nmt1dTJ2bnlwODc4