Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu ya kweli haya au janja janja tu hizi!?
Nachojua Kuna huo mradi wa Uranium Mkuju River kule Namtumbo siku nyingi ila unatarajia kuanza uzalishaji mapema mwakani,Kuna kampuni ya USA kule.

Ila anayoongea huyu mzungu sijui kama ni kweli au laa.
 
Nachojua Kuna huo mradi wa Uranium Mkuju River kule Namtumbo siku nyingi ila unatarajia kuanza uzalishaji mapema mwakani,Kuna kampuni ya USA kule.

Ila anayoongea huyu mzungu sijui kama ni kweli au laa.
Ni ya uchimbaji au Kuna vinu vya kurutubisha uranium?
 

View: https://x.com/BD_Africa/status/1940717154745438689?t=gwPE2-TyMSKTQKg1bguT-Q&s=19
Screenshot_20250703-144019.jpg


My Take
Kwa upande wa Tanzania mapema mwakani tunaanza kuuza umeme Zambia baada ya mradi wa TAZA kukamilika.
 
Back
Top Bottom