Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://x.com/BD_Africa/status/1940717154745438689?t=gwPE2-TyMSKTQKg1bguT-Q&s=19
Screenshot_20250703-144019.jpg


My Take
Kwa upande wa Tanzania mapema mwakani tunaanza kuuza umeme Zambia baada ya mradi wa TAZA kukamilika.
 
That's health, nd we have covered the gap.

But, on overall aid, Kenya was highly dependant on USAID.
Tanzania tumeanza kujikongoja wenyewe nje ya misaada kwa kuanzia sekta ya afya.
Juzi tu nimempeleka wife clinic aisee vipimo vingi vilivyokua vinatolewa kwa hisani ya Amerika havipo na vinakuwa provided na serikali yenyewe kwa pesa zake.
 
Watanzania wameachiwa kuchimba VISIMA VYA MAJI... Madini wanachimba ACACIA wenzake..
Whatever lakini serikali ina hisa 16% na wachimbaji wanalipa kodi na mirabaha.

Lakini pia serikali imeanza kuwanunulia vifaa wachimbaji wadogo.

Hakuna nchi yenye mipango yenye afadhali ya kuwezesha wananchi wake kama Tanzania (tuna matatizo yetu ndio) ila kwenye hili tunajitahidi.

Kinachotuangusha kama vijana ni viroho fulani vya ubinafsi na roho mbaya za ndani ndani na kushindwa kufanya kazi kwa kushirikiana.



View: https://youtu.be/KAZOs4KwhUU?si=K01eXAI0MUB3eqNs
 
Whatever lakini serikali ina hisa 16% na wachimbaji wanalipa kodi na mirabaha.

Lakini pia serikali imeanza kuwanunulia vifaa wachimbaji wadogo.

Hakuna nchi yenye mipango yenye afadhali ya kuwezesha wananchi wake kama Tanzania (tuna matatizo yetu ndio) ila kwenye hili tunajitahidi.

Kinachotuangusha kama vijana ni viroho fulani vya ubinafsi na roho mbaya za ndani ndani na kushindwa kufanya kazi kwa kushirikiana.



View: https://youtu.be/KAZOs4KwhUU?si=K01eXAI0MUB3eqNs

Kwanini 84% ya wawekezaji ni ya kipindi chote cha uchimbaji?? Huu uwekezaji unaofanywa kwanini usigharamikiwe na kinachozalishwa kwanza halafu baadaye Serikali ipate hata 80% ya faida?? Hapo ndo wajanja wakaja na akili kwamba always wanapata hasara lakini hawaondoki..
Na kama wanapata faida siye ndo wajinga..
 
Back
Top Bottom