Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Kisumu Haina league yake Tanzania.
It is high time mgodi wowote au madini yoyote yanayochimbwa yamilikiwe na watanzania au 50% sio chini ya hapo iwapo kweli tunataka maendeleo ya kweli tunazalisha wasomi wanaishia kuwa machawa badala ya kuhodhi izi nafasi japo sheria zimebadilka but it is not enoughBado wanaingia ile mikataba ya kijinga kijinga kama ya buzwagi
Whatever lakini serikali ina hisa 16% na wachimbaji wanalipa kodi na mirabaha.
Lakini pia serikali imeanza kuwanunulia vifaa wachimbaji wadogo.
Hakuna nchi yenye mipango yenye afadhali ya kuwezesha wananchi wake kama Tanzania (tuna matatizo yetu ndio) ila kwenye hili tunajitahidi.
Kinachotuangusha kama vijana ni viroho fulani vya ubinafsi na roho mbaya za ndani ndani na kushindwa kufanya kazi kwa kushirikiana.
View: https://youtu.be/KAZOs4KwhUU?si=K01eXAI0MUB3eqNs
Tupo vizuri sana,ndio maana upande wa sadc kuna intern doctors kibao wamejaa mloganzila,muhimbili,kairuki n.kTuko vizuri tofauti ya wao na sisi ni moja: sis hatupigi kelele, yaani tuko kimya.
Yeah, NakuruHii nimeshindwa kabisa. Could it be Nakuru?
And are those zebras grazing on the open field?
Not even 50%, it should be 100%. Waafrika tuna shida, why do we need foreigners to mine minerals for us? Like, mining is simply digging something from the ground, how complicated is that?It is high time mgodi wowote au madini yoyote yanayochimbwa yamilikiwe na watanzania au 50% sio chini ya hapo iwapo kweli tunataka maendeleo ya kweli tunazalisha wasomi wanaishia kuwa machawa badala ya kuhodhi izi nafasi japo sheria zimebadilka but it is not enough
Basi tukifanye kisiwa chetu chenye Uongozi wa ndani kama ZanzibarWacomoro ukiwakuta hapo TZ na wenyewe wanataka stahiki zote kana wa TZ,jamaa wanaikubali sana TZ
Tufanye nao Mazungumzo wawe sehemu ya JMT yenye Utawala wake wa Ndani kama ilivyo Zanzibar.Wacomoro ukiwakuta hapo TZ na wenyewe wanataka stahiki zote kana wa TZ,jamaa wanaikubali sana TZ
We have no intensive technology.Not even 50%, it should be 100%. Waafrika tuna shida, why do we need foreigners to mine minerals for us? Like, mining is simply digging something from the ground, how complicated is that?
how many mines does Ukunduni have? Unafikiri modern gold mines adhering to sfety n environmental standards is a walk to the park?Not even 50%, it should be 100%. Waafrika tuna shida, why do we need foreigners to mine minerals for us? Like, mining is simply digging something from the ground, how complicated is that?
Kuna yule dada Mzimbabwe ana Kiswahili kimenyooka balaa halafu sasa amejifunza ndani ya muda mfupi tu.Tupo vizuri sana,ndio maana upande wa sadc kuna intern doctors kibao wamejaa mloganzila,muhimbili,kairuki n.k