Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
View: https://vm.tiktok.com/ZNdyMLtYf/ looks ukunyan ukivaa jezi ya Yanga basi umeyapatia,huyu demu wa kikunya hii jezi aivui huko tiktok
Naona wanaandama na jezi za yanga tena za mwaka jana huko
Tanzania is really influencial here in East Africa.
Tanzania ni kama maji tu
View: https://www.instagram.com/reel/DLUu6kbtl2p/?igsh=MXhidTU5Y2loYm9seg==
Soka,music,chakula na ajira vyote tegemeo lao ni kwetu,kunyan bila TZ awatoboiYani ukitaka kujua wakenya tumewatawala kwenye soka angalia kavaa jezi ya Yanga na haiongelei, kwamba kama mm nivae jezi ya Man u it's not a big deal.
Umesahau Kenya kutegemea Machokoraa?Soka,music,chakula na ajira vyote tegemeo lao ni kwetu,kunyan bila TZ awatoboi
Ngoja tuwaongezee majengo hapo.Asanteni majirani kwa hili jengo..
View attachment 3385048
Ngoja tuwaongezee majengo hapo.
View: https://x.com/JMakamba/status/1802981940594655583?t=ot1W0jN1zuX24-HawwuL6w&s=19
dah kiongozi umeniacha mfiduo ndio nini?Kanaonekana kamekulia kwenye umasikini, na kana ukosefu wa mfiduo. 😂😂😂
Nairobi CBD hiyo. 🤣🤣🤣 hii na tandale tofauti yake ni magorofa tu. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DLWrQodtXBG/?igsh=dXMyYnFmZmtmcXBm.
Tofauti ya Nairobi na Bangladesh ni ipi wakuu.? 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DLWrqjhtZbv/?igsh=MXBlOGRycnkzbjRpNg==.