Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,907
- 103,771
Haya mambo hukuti kwenye miji mikubwa Tanzania, Kunyaland ipo backward kweli
View attachment 3383246
View: https://x.com/StandardKenya/status/1937908658215543210?t=gQPwSM_mv-tkg1zYiq7Blw&s=19
View attachment 3383263
How many of these are owned by Tanzanians? 🤣🤣🤣Mbona hamsemagi hivi kwa konza, tako city, expressway, Talanta stadium, usahihi highway, almost all high rise buildings and apartments in naislum, all of these and many more none of them are owned by Kunyalanders ni foreigners tupu.
Piga ua. 🤣🤣🤣
Kwaiyo wakenya wanapiga kura kwa kuhongwa chapati?Lakini hutopata Wakenya wakimshukuru Rais kwa kuwapea chapati. Watachukua, wakule alafu wamwambie aache ujinga.
Miaka ya 90s
Hizo picha nazijua ni za mwaka 1996 wilaya ya Iramba Magharibi
Hii picha leo imetumwa mara sabaThis is Dar is a slum ... oooopps huko hakunanga paved roads.
Dodoma ... oooopps pia huko hakunanga paved roads.
Garden Estate ✅
![]()
To be honest bi mkubwa pamoja na mapungufu yake,dar amejua kuitendea hakiHiv hiz bomba wanazoweka Chini hapa askari monument ndo za nyaya za umeme?
Ingependeza sana kama nyaya zote za umeme na fibre zingewekwa underground
View attachment 3382477View attachment 3382478
Weka picha chache ili watu waweze kupitia details. Unaweka picha nyingi kwenye comment moja ili watu washindwe kupitia details 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wakenya wote ni hopelessHow many of these are owned by Tanzanians? 🤣🤣🤣
NairobiView attachment 3383272View attachment 3383168View attachment 3383183
View attachment 3383260
Mombasa
View attachment 3383250View attachment 3383250View attachment 3383258View attachment 3383266View attachment 3383266View attachment 3383250
Nakuru
View attachment 3383282View attachment 3383288View attachment 3383294View attachment 3383295View attachment 3383296View attachment 3383298View attachment 3383299
Naona wanaandama na jezi za yanga tena za mwaka jana huko
Tanzania is really influencial here in East Africa.
Tanzania ni kama maji tu
View: https://www.instagram.com/reel/DLUu6kbtl2p/?igsh=MXhidTU5Y2loYm9seg==
Miaka ya 90's kulikua na hio Howo Truck bongoslum. Kudanganya wakenya inahitaji mtu ana akili.Miaka ya 90s
Tribalist asiye-reason! Utakuwa mtu wa Gachagia!I'm not going to engage in an obvious argument with you moron
Eeeeish. Na na I, manage hapa boss!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amezaa mtoto!
Utakuwa umetumia AI kutengeneza picha hiyo. Wakenya tunawajua mwezi uliopita tu mmetengeneza picha nyingi kwa kutumia AI kuwadhalilisha viongozi wa TanzaniaMiaka ya 90's kulikua na hio Howo Truck bongoslum. Kudanganya wakenya inahitaji mtu ana akili.
Picha za AI zinajulikana, kama wewe hujui kutofautisha, basi hio ni shauri yako.Utakuwa umetumia AI kutengeneza picha hiyo. Wakenya tunawajua mwezi uliopita tu mmetengeneza picha nyingi kwa kutumia AI kuwadhalilisha viongozi wa Tanzania
Afrika yote inajua projects za kenya ni chache sana ndio maana mnatuma picha hiyo hiyo mara saba kila siku.Tena kwa mara ya nane.
![]()