Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tunafanya makosa kuwapa global giants licences ni kama vile Mchuchuma kwa Mchina! Madhumuni yao ni kuwa na monopoly kwenye hizi biashara!
Hatuna mtaji wala technical know how ya ku proceed to realize the investment. we need a deliberate policy to empower our people on various technologies and a guaranteed financing mechanism such as proceeds from gold can be reinvested in strategic sectors kama hizo za iron ore mining, uranium etc. we also need to create local capacity for our companies to be able to hoard these commodities and compete on the global scale.
 

View: https://www.facebook.com/100044190621236/posts/pfbid028sD87mnGdRNUCMiTdJhY41kqDRNHMHdmo3MdEgngC2PFyTTeLHjP6vrFcKk5mv4bl/


MY TAKE
Travelling like a boss!

Ruto akipanda SGR mpaka mombasa akishuka suti yote itakuwa imejaa carbon dust
 
haya walitakiwa wayaruhusu 3 yrs back sio leo yani hua tunafanya mambo kwa kuchelewa sana sijui hua tunashida gan?
Shida ni vested interests mkuu unafikiri wenye biashara ya mafuta watakubali kirahisi hivyo lobbying yao serikalini ilikuwa kubwa ku delay hii issue na hata gas pipeline za TPDC kwenye residential areas imekuwa delayed kwa muda mrefu zaidi ya 10 years now wameweka infrastructure in few places only sasa hivi ndio wanasambaza in a large scale.
 
Back
Top Bottom