babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Ukosefu wa mfiduo yaani Lack of exposure. 😂😂😂dah kiongozi umeniacha mfiduo ndio nini?
Ukosefu wa mfiduo yaani Lack of exposure. 😂😂😂dah kiongozi umeniacha mfiduo ndio nini?
That street has always been dirty stop hiding kwenye kichaka cha mandamano.You expected the streets to be clean, nice and tidy on a day of demonstrations and chaos all over? Why do you people like consoling yourselves this much?
Tunataka spaces.Ila nyinyi mmeshindwa kuongeza kwenu.
Nimeibeba hiyo na ninatamba nayo.Ukosefu wa mfiduo yaani Lack of exposure. 😂😂😂
Don't you have a lot of spaces in your dirty country?Tunataka spaces.
Hatutaki concete jungle
Kiswahili ni pana. 😂😂😂Nimeibeba hiyo na ninatamba nayo.
Hatuna mtaji wala technical know how ya ku proceed to realize the investment. we need a deliberate policy to empower our people on various technologies and a guaranteed financing mechanism such as proceeds from gold can be reinvested in strategic sectors kama hizo za iron ore mining, uranium etc. we also need to create local capacity for our companies to be able to hoard these commodities and compete on the global scale.tunafanya makosa kuwapa global giants licences ni kama vile Mchuchuma kwa Mchina! Madhumuni yao ni kuwa na monopoly kwenye hizi biashara!
OH My what a shame.Moja ya stendi za matatu katikati ya jiji la Nairobi June 26 2025View attachment 3384418
View attachment 3384417
View attachment 3384415
View: https://www.facebook.com/100044190621236/posts/pfbid028sD87mnGdRNUCMiTdJhY41kqDRNHMHdmo3MdEgngC2PFyTTeLHjP6vrFcKk5mv4bl/
![]()
Tanzania Railways Corporation
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu Mteule wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Machibya Masanja, mapema leo Juni 26, 2025 kabla...www.facebook.com
MY TAKE
Travelling like a boss!
running track 🤣🤣🤣
Duh haya bwana thanks.Ukosefu wa mfiduo yaani Lack of exposure. 😂😂😂
vitu vidogo hivyo huku tulishapiga marufuku public entities kuwekeza kwenye majengo badala yake wanawekeza kwenye industries.Asanteni majirani kwa hili jengo..
View attachment 3385048
na hawez kupanda kwasababu haina usalama kabisaaRuto akipanda SGR mpaka mombasa akishuka suti yote itakuwa imejaa carbon dust
Shida ni vested interests mkuu unafikiri wenye biashara ya mafuta watakubali kirahisi hivyo lobbying yao serikalini ilikuwa kubwa ku delay hii issue na hata gas pipeline za TPDC kwenye residential areas imekuwa delayed kwa muda mrefu zaidi ya 10 years now wameweka infrastructure in few places only sasa hivi ndio wanasambaza in a large scale.haya walitakiwa wayaruhusu 3 yrs back sio leo yani hua tunafanya mambo kwa kuchelewa sana sijui hua tunashida gan?
That space is what we needDon't you have a lot of spaces in your dirty country?
Ur radio presentor is proudly donning a Young African jersey!Who are you planning to scam today Mr. Conman?