Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Jamaa wana wivu mno,kwa roho zao zile watazidi kuumia kila miaka inavyozidi kwendaWakenya wanaumia sana. Naona na Waganda wameanza kuwaiga wakenya. Hakuna Mtanzania anaweza kwenda kwenye page ya mtu amepost kuhusu Kenya a comments Tanzania
Mtu mpaka anapanga safari yake kutoka huko maana yake kafanya research