chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Kenya hatubebi magari kwa mikokoteni. Wacha kufanya guess work za kipumbavu, kama umekosa source sema usaidiwe.
View: https://x.com/Nipashetz/status/1010404838201548806
Sio kitu normal ndio maana ilisababisha usumbufu na ikaripotiwa na saivi hakuna haya mambo yalishadhibitiwa lakini Kunyaland mpaka expressway zinapita kama kawa