Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunyan wanakuambia tambo lao la chang'aa likifika uganda linaunganisha congo na rwanda,wangejua sgr yetu inanukia mwanza na isaka soon wangelia View attachment 3380415
Kwanza hata ikifika Uganda, mzigo wa kutoa Uganda kwenda nje hakuna zaid ya bidhaa za kilimo kama chai ambazo huwa ni za misimu( deni unalipaje? )
Yaan hata uhakika wa kupata hela bado wanataka shindana na nchi ambayo mkandarasi yuko site lot zote .
Hivi wanajua kwamba kuna mchina anajenga meli zake tatu kwa ajili ya kusafirisha madini Toka manono kuja kigoma , yaan uhakika wa mzigo tayari
 
Magufuli daima asingeweza kutibiwa hata mafua huko Kenya, tundu lissu ilikuwa lazima aje Kenya kutokana na mazingira ya tukio lake na ukaribu wa naipori kutoka dar, na hata baada ya kuletwa huko ikabidi aondoshwe cz mlikuwa mmemukea mitungi ya gesi tu pasipo tiba, ndio mana akaondoshwa. Hamna kitu mnaweza nyie vilaza.
Ask yourself why Lissu chose Nairobi over other regional cities like Kampala, Kigali, Bujumbura or even Maputo. Ama hizo miji mengine pia ilikuwa hatari kwake? The thing is, Lissu is alive courtesy of Nairobi Hospital. The emergency medical attention he received there saved his life.

About Magu, how would you believe that he was transfered to Nairobi for treatment when in real sense you didn't even have an idea that he was fighting for his life after your own government made you believe that he was ok and going about his duties as usual?
 
Hizi zote ni propaganda, nilikuambia utuonyeshe evidence ya Mosad kuwa bombed ukashindwa. KAZI yako ni maneno maneno Tu with no evidence, no wonder you are a quack.
Hiko ni chombo cha Times of Israel.
Israel ikizuia raia wake wasikimbie nchi, baadhi wameondoka kupitia maji na wapo wengi hadi sasa wanatoroka kupitia maji.
Aya sema na hii ni propaganda.

Screenshot_20250623-195047.png
 
Kwanza hata ikifika Uganda, mzigo wa kutoa Uganda kwenda nje hakuna zaid ya bidhaa za kilimo kama chai ambazo huwa ni za misimu( deni unalipaje? )
Yaan hata uhakika wa kupata hela bado wanataka shindana na nchi ambayo mkandarasi yuko site lot zote .
Hivi wanajua kwamba kuna mchina anajenga meli zake tatu kwa ajili ya kusafirisha madini Toka manono kuja kigoma , yaan uhakika wa mzigo tayari
Mzigo tegemezi wa Uganda wanaotegemea, ni Uganda kutumia Mombasa kwa mizigo yao wanayotoa nje ya nchi kama China.
 
I remember posting a while back about this. This is a fact ( let’s put jokes on the side). A highly level VIP was rushed inside Nairobi Hospital VIP wing. State Security was posted there and it’s unusual for such a thing unless it involved a President. Infact the night staff thought it was Kenya’s President or ex at first. This the same time Mangufuli was awol to TZ public. And as I posted before, Lucky for me I got that first hand info from a relative working at Nairobi hospital night shift ( she’s still there). But still nobody knows who that patient was but only that he was a Presidential level type based on security detail at the time. The only person recognized was Raila Odinga who was seen heading to the VIP wing same night. He didn’t look sick meaning he was just a visitor. Another point is the VIP patient stayed there only overnight and he was secretly moved out ( sounds familiar????) I really hope one day Raila Odinga will reveal whom he was visiting at Nairobi Hospital that night .else someone needs to interview Nairobi hospital staff working that night and they will back my statement.
You can analyze my statement and make your own conclusion.
The fact is, Magu was treated at Nairobi Hospital. This is the bitter pill these people don't want to swallow
 
Katika kumbukumbu zangu sijawahi sikia kuna lot ya ujenzi kwenda Uganda bali mwanza? Labda utuambie wewe kuwa ni lini Tanzania imeanza ujenzi kwenda uganda
Yetu tulifikisha Naivasha mkapiga kelele and called it sgr to nowhere. Hii yenu ya kufikisha Mwanza has what economic value if the long term is not to reach Uganda?
 
Kwi 82.8 bil ksh ni sawa na usd 641mil
Na bado total exports zenu zote ilikuwa ni 11bil usd versus 16 bil usd tz
Sasa kama mnaexport goods za 82.8 bil gdp yenu Iko wapi versus 1.92 usd bil ya tz

Hii mpaka December 2024 hatujafunga mwaka
Haya tuletee ya Kenya nyangau kama mnaweza vuka hata hiyo 1bil usdView attachment 3380122
GDP ya consumption tuu inakalia madeni kuchangamsha uchumi kila kitu ni fake tuu huko.
 
Kwanza hata ikifika Uganda, mzigo wa kutoa Uganda kwenda nje hakuna zaid ya bidhaa za kilimo kama chai ambazo huwa ni za misimu( deni unalipaje? )
Yaan hata uhakika wa kupata hela bado wanataka shindana na nchi ambayo mkandarasi yuko site lot zote .
Hivi wanajua kwamba kuna mchina anajenga meli zake tatu kwa ajili ya kusafirisha madini Toka manono kuja kigoma , yaan uhakika wa mzigo tayari
Ifike isaka rwanda waungie pale,kwa uganda tungeweka mkakati mzigo wao ufike mwanza to port bell,shida hatuna viongozi wenye roho mbaya kama magu linapokuja suala la kuwanyoosha kunyan
 
Anakuambia land ni one "hector" lakini nyumba imejengwa karibu na gate😂😂😂.

I think Jamaa hajui size ya hectare inatoshana aje. Maybe hata hajui 50by 100 ni land kiasi gani.
Atajuaje na hua wanapima mashamba na miguu.
 
Is it a national pass-time in Bongolala to be dumb?
When has Kenya ever included remittances in exports? 😂 😂

Na Hamuhesabu vipi na tunajua kutoka kwa official records zenu, kwamba diaspora remittances za bongo ziko chini ya South Sudan na Rwanda?


View attachment 3380303

View attachment 3380304
Unashangaa nini remitansi za Tz kuwa chini huoni aibu kujilinganisha na Sudan na Rwanda amabo wamekuwa vitani muda mrefu wananchi wakakimbia nchi sasa nyie kwa nini mnakimbia nchini kwenu kuna nini? Sisi hatuna uhitaji wa kutaka kuishi nje ya TZ hujasikia msemo unaosema Bongo New York?
 
Yetu tulifikisha Naivasha mkapiga kelele and called it sgr to nowhere. Hii yenu ya kufikisha Mwanza has what economic value if the long term is not to reach Uganda?
Expansion kwenda mwanza Inaweza. Isiwe na mzigo wa kutosha wa kurudisha ila bado mzigo mkubwa sana kutokea mwanza kuja dar. ila bado sgr kwenda kigoma na Burundi itafidia deni within a short period kutokana na kuwepo kwa mzigo wa uhakika . Haya tuammbie kutoka naivasha kwenda Mombasa mnabena nini🤣🤣😀😀
 
Back
Top Bottom