Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Huu mjadala nilishamalizana na wewe.

IMG_20250622_090505_497.jpg


Israel raia wanaendelea kukimbia nchi kupitia Egyptian border.
 
Kwi 82.8 bil ksh ni sawa na usd 641mil
Na bado total exports zenu zote ilikuwa ni 11bil usd versus 16 bil usd tz
Sasa kama mnaexport goods za 82.8 bil gdp yenu Iko wapi versus 1.92 usd bil ya tz

Hii mpaka December 2024 hatujafunga mwaka
Haya tuletee ya Kenya nyangau kama mnaweza vuka hata hiyo 1bil usdView attachment 3380122

Sales from EPZ pekee ni more than 1 billion dollars. Zako ni story za jaba.
 
Sales from EPZ pekee ni more than 1 billion dollars. Zako ni story za jaba.
Export of products Ina include bidhaa zote zinazozalishwa kwenye iwe epz au popote , ila total exports ya bidhaa za viwandani kwa mwaka 2024 ni 82.8 bil nenda kwenye website of central bank of Kenya itapata Kila kitu🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

Nenda shule hauna unachojua export processing zone unapewa incentive zote za ndani unapofika hatua ya kuexport unafollow procedures za export.
Unajielewa kweli, kwa hivyo products manufactured kwa EPZ hua zinapeanwa bure? EPZ produces goods for export market, sasa mbona zisihesabiwa kama export. Ona vile unajiaibisha.
 
Mbona nyie mnahesabu remittances while we do not?
Is it a national pass-time in Bongolala to be dumb?
When has Kenya ever included remittances in exports? 😂 😂

Na Hamuhesabu vipi na tunajua kutoka kwa official records zenu, kwamba diaspora remittances za bongo ziko chini ya South Sudan na Rwanda?


urudi.JPG


rem.JPG
 
Unajielewa kweli, kwa hivyo products manufactured kwa EPZ hua zinapeanwa bure? EPZ produces goods for export market, sasa mbona zisihesabiwa kama export. Ona vile unajiaibisha.
Leta sasa bidhaa zilizozalishwa na epz kwa mwaka 2024 , hapo ushawekewa total exports of goods zote kwa mwaka 2024 ikiwamo na agricultural goods ambazo jumla ni usd 8.+ Bil usd
 
Is it a national pass-time in Bongolala to be dumb?
When has Kenya ever included remittances in exports? 😂 😂

Na Hamuhesabu vipi na tunajua kutoka kwa official records zenu, kwamba diaspora remittances za bongo ziko chini ya South Sudan na Rwanda?


View attachment 3380303

View attachment 3380304
Wenzako huwa wanazinclude humu na mara kibao tunawaelimisha kuwa remittances haihesabiki kama ni exports bali ni kama transfer tu ya pesa kuja home
 
Back
Top Bottom