Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sales from EPZ pekee ni more than 1 billion dollars. Zako ni story za jaba.
Export of products Ina include bidhaa zote zinazozalishwa kwenye iwe epz au popote , ila total exports ya bidhaa za viwandani kwa mwaka 2024 ni 82.8 bil nenda kwenye website of central bank of Kenya itapata Kila kitu🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

Nenda shule hauna unachojua export processing zone unapewa incentive zote za ndani unapofika hatua ya kuexport unafollow procedures za export.
Unajielewa kweli, kwa hivyo products manufactured kwa EPZ hua zinapeanwa bure? EPZ produces goods for export market, sasa mbona zisihesabiwa kama export. Ona vile unajiaibisha.
 
Mbona nyie mnahesabu remittances while we do not?
Is it a national pass-time in Bongolala to be dumb?
When has Kenya ever included remittances in exports? 😂 😂

Na Hamuhesabu vipi na tunajua kutoka kwa official records zenu, kwamba diaspora remittances za bongo ziko chini ya South Sudan na Rwanda?


urudi.JPG


rem.JPG
 
Unajielewa kweli, kwa hivyo products manufactured kwa EPZ hua zinapeanwa bure? EPZ produces goods for export market, sasa mbona zisihesabiwa kama export. Ona vile unajiaibisha.
Leta sasa bidhaa zilizozalishwa na epz kwa mwaka 2024 , hapo ushawekewa total exports of goods zote kwa mwaka 2024 ikiwamo na agricultural goods ambazo jumla ni usd 8.+ Bil usd
 
Is it a national pass-time in Bongolala to be dumb?
When has Kenya ever included remittances in exports? 😂 😂

Na Hamuhesabu vipi na tunajua kutoka kwa official records zenu, kwamba diaspora remittances za bongo ziko chini ya South Sudan na Rwanda?


View attachment 3380303

View attachment 3380304
Wenzako huwa wanazinclude humu na mara kibao tunawaelimisha kuwa remittances haihesabiki kama ni exports bali ni kama transfer tu ya pesa kuja home
 
Wenzako huwa wanazinclude humu na mara kibao tunawaelimisha kuwa remittances haihesabiki kama ni exports
Hakuna mkenya amefika class 4 hajui hii tofauti.
Please kojoa ulale.

The average Bongolala adult has comprehension ability ya a grade 3 Kenyan child.

If we were to include Remittances + Tourism as exports, which slum in Dar will you hide?
Oh, it doesn't matter, it's all a slum.
 
Hakuna mkenya amefika class 4 hajui hii tofauti.
Please kojoa ulale.

The average Bongolala adult has comprehension ability ya a grade 3 Kenyan child.

If we were to include Remittances + Tourism as exports, which slum in Dar will you hide?
Oh, it doesn't matter, it's all a slum.
Tukikuletea proof ya wenzako waliokuwa wanalazimisha ? 🤣🤣😀
Michezo hautaki hasira 🤣🤣🤣🤣 leo mnakataas
 
Ndo maana huwa tunawaambie kwenu shule hakuna epz haihusiki na manufacturing pekee , si ajabu kukuta hata ofisi ya tour kwenye epz

Export Processing Zones (EPZs) are not limited to producing only manufactured goods. While manufacturing is a primary focus, EPZs also facilitate the processing of agricultural, livestock, forestry, and fisheries products. Additionally, they can handle the production of construction materials, and other sectors, making them a broader platform for various export-oriented activities.

Here's a more detailed breakdown:
  • Manufacturing:
    EPZs are well-known for attracting industries that produce goods for export, including textiles, apparel, electronics assembly, and more.

  • Agro-processing:
    A significant emphasis is placed on adding value to agricultural, livestock, forestry, and fisheries products within the EPZ framework.

  • Other Sectors:
    EPZs can also support industries like mining technology, iron and steel production, and the development of industrial parks and logistics centers.

  • Services:
    While manufacturing and processing are central, EPZs also involve companies providing services within the zone, such as utilities, infrastructure, and other support services.

  • Value Addition:
    EPZs often aim to promote the processing of local raw materials for export, contributing to economic development by increasing the value of locally produced goods.
 
Watalii walisha wasanukia kitambo sema hawajitambui
Kenya kila mtu TAPELI.

Wanashirikiana wote kutapeli WATALII.

Ndege zao za KQ wameziandika, Kilimanjaro, Tarangire, Ngorongoro.

Ndio maana huwa tukiwazuia kuja na magari yao ya watalii nchini, wanatia huruma.

Au tukipiga BAN, KQ kutua TZ, wanatia huruma.

Na walivyo wapuuzi wanadhani hatujui michezo yao.
 
Kenyan Export Processing Zones (EPZs) feature a variety of agro-processing activities, primarily focused on value addition for export. These include processing of tea, coffee, macadamia nuts, fresh produce (like avocados and mangoes), edible and non-edible oil extraction, and dried flower arrangements. Additionally, some EPZs engage in grain milling, sugar production, dairy processing, and the manufacture of agricultural inputs and equipment.
Specific examples of agro-processing activities within Kenyan EPZs:
Tea and Coffee: Primary processing of tea and coffee beans, including sorting, grading, and packaging for export.
Macadamia Nuts: Processing, roasting, and packaging of macadamia nuts for export.
Fresh Produce: Value addition to fruits like avocados and mangoes, including washing, sorting, grading, and packaging for export.
Edible and Non-Edible Oil Extraction: Processing of oilseeds to produce edible and non-edible oils for various applications.
Dried Flowers: Processing and packaging of dried flower arrangements for export.
Grain Milling: Processing of grains like maize and wheat into flour and other products.
Sugar Production: Processing of sugarcane into sugar and related products.
Dairy Processing: Processing of milk into various dairy products like cheese, yogurt, and butter.
Agricultural Inputs and Equipment: Manufacturing of inputs like fertilizers and assembly or manufacturing of agricultural equipment.



Hapa tunaongelea manufactured goods only. Kwenye hizo epz kuna mpaka maize milling ambazo zinadondokea kwenye agricultural products,
Kuna mpaka avocado packaging zote hizo ziko kwenye hizo epz.
🤣🤣🤣🤣

Data za exports zipo kwenye website za central bank of Kenya 🤣😀😀🤣
Kuna mpaka services humo
chrome_screenshot_Jun 23, 2025 6_25_01 PM GMT+03_00.png
 
Back
Top Bottom