Kwa kwenda kalemie na central drc sawa ila kwa kwenda Lubumbashi tunduma bado ni karibu sana kama drc walifanikiwa kufufua ile reli yao kwenda Lubumbashi na kuwa na meli kubwa pale za kuleta copper na madini mengine kutokea maneno mbalimbali ndani ya central drc basi speed ya sgr itatubeba sana maana kutokea dar- kgm itakuwa haizid masaa 10 na na kutokea kgm - kalemie hapazidi km 100 kwa hiyo ukipata ferry ya knot 15 tu masaa matatu mtu yuko kalemie inabaki ni speed ya kupakia na kupakua , ila tukiwa na meli za kuingiza mabehewa direct hata behewa 30 tu basi kigoma itaenda kuwa geneva