Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Wavumbistan yani huwa mna shida. Mtu amezuru nchi jirani alafu ashinde akiulizauliza viswali vya kuleta ugomvi akirekodi akipost.........hapo utapata aliwauliza Wakenya kama kumi wote wakajibu sahihi ila yule mmoja aliyejibu vingine ndio anapostiwa. Alafu kwa comment unapata watu wasema Kenya ina chuki, sasa hapo kuna chuki gani? 🤣 🤣 Your issues with Kenya are always self made.🤣🤣
 
Kila moja inabeba tani 1500
Bado ni ndogo sana
Behewa 25 ingependeza za kuanzia behewa 50 .
chrome_screenshot_Jun 23, 2025 2_47_08 PM GMT+03_00.png
 
Wavumbistan yani huwa mna shida. Mtu amezuru nchi jirani alafu ashinde akiulizauliza viswali vya kuleta ugomvi akirekodi akipost.........hapo utapata aliwauliza Wakenya kama kumi wote wakajibu sahihi ila yule mmoja aliyejibu vingine ndio anapostiwa. Alafu kwa comment unapata watu wasema Kenya ina chuki, sasa hapo kuna chuki gani? 🤣 🤣 Your issues with Kenya are always self made.🤣🤣
Huyo aliuliza swali hapo down ni Benjamin mwenye kampuni yenye thamani ya 100 billion Tz money, mmiliki wa NALA money. Sidhani kama anaweza kufanya hizo stories unazotuelezea.
 
Kwa kwenda kalemie na central drc sawa ila kwa kwenda Lubumbashi tunduma bado ni karibu sana kama drc walifanikiwa kufufua ile reli yao kwenda Lubumbashi na kuwa na meli kubwa pale za kuleta copper na madini mengine kutokea maneno mbalimbali ndani ya central drc basi speed ya sgr itatubeba sana maana kutokea dar- kgm itakuwa haizid masaa 10 na na kutokea kgm - kalemie hapazidi km 100 kwa hiyo ukipata ferry ya knot 15 tu masaa matatu mtu yuko kalemie inabaki ni speed ya kupakia na kupakua , ila tukiwa na meli za kuingiza mabehewa direct hata behewa 30 tu basi kigoma itaenda kuwa geneva
Trucks tu,greece ni nchi yenye visiwa vingi zaidi ya 50,pale ni roro na catamaran ndio zinapiga kazi,ukiangalia umbali wa kutokea kigoma to kalemie halafu hamna meli ndio utaona afrika bado tuna safari ndefu sana
 
Huyo aliuliza swali hapo down ni Benjamin mwenye kampuni yenye thamani ya 100 billion Tz money, mmiliki wa NALA money. Sidhani kama anaweza kufanya hizo stories unazotuelezea.
Yule bolt driver akujua kama benjamin ni mbongo kwa ule muonekano wake,vile ndivyo wakenya wanavyowadanganya wageni kuhusu vitu vya TZ,humu tulishaambiwa sgr yetu kuna mkopo tumechukua kundustan basi ndio ujue hata wageni wanaambiwa hivyo
 
Huyo aliuliza swali hapo down ni Benjamin mwenye kampuni yenye thamani ya 100 billion Tz money, mmiliki wa NALA money. Sidhani kama anaweza kufanya hizo stories unazotuelezea.
Wee mbilikimo nieleze, mbona asipeleke hiyo kampuni yake Vumbistan kama anakerwa na Wakenya hivi?
 
Trucks tu,greece ni nchi yenye visiwa vingi zaidi ya 50,pale ni roro na catamaran ndio zinapiga kazi,ukiangalia umbali wa kutokea kigoma to kalemie halafu hamna meli ndio utaona afrika bado tuna safari ndefu sana
Kwa sasa mkuu hakuna movement kubwa sana kigoma tu kalemie sababu ya vurugu pili usafir kwenda kigoma bado haujatosheleza , wakisema serikali iachie kuwe na free market kwa leo hii utawau kwa njaa watu wa kigoma.
Kuna kipindi miaka hiyo ya2000 ilikuwa wakongo wakiiingia kununua bidhaa mpaka kuku mtaaani wanapotea🤣🤣🤣
 
Trucks tu,greece ni nchi yenye visiwa vingi zaidi ya 50,pale ni roro na catamaran ndio zinapiga kazi,ukiangalia umbali wa kutokea kigoma to kalemie halafu hamna meli ndio utaona afrika bado tuna safari ndefu sana
Upande wenye abiria wengi ni karemi kwenda kivu ila sio kigoma na kuna meli kibao upande wa Kongo ila ingiza zako sasa uone fitina
 
Ukiangalia exports za bidhaa za viwandani baina ya Kenya na Tanzania , tz imeizid Kenya almost mara mbili
Yani unadhani unajadiliana na Primary School dropouts? Your export of manufactured goods hata hazifiki quarter za Kenyan export of manufactured goods.
 
Yani unadhani unajadiliana na Primary School dropouts? Your export of manufactured goods hata hazifiki quarter za Kenyan export of manufactured goods.
Kwi 82.8 bil ksh ni sawa na usd 641mil
Na bado total exports zenu zote ilikuwa ni 11bil usd versus 16 bil usd tz
Sasa kama mnaexport goods za 82.8 bil gdp yenu Iko wapi versus 1.92 usd bil ya tz

Hii mpaka December 2024 hatujafunga mwaka
Haya tuletee ya Kenya nyangau kama mnaweza vuka hata hiyo 1bil usd
chrome_screenshot_Jun 23, 2025 3_53_03 PM GMT+03_00.png
 
Back
Top Bottom