Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unashangaa nini remitansi za Tz kuwa chini huoni aibu kujilinganisha na Sudan na Rwanda amabo wamekuwa vitani muda mrefu wananchi wakakimbia nchi sasa nyie kwa nini mnakimbia nchini kwenu kuna nini? Sisi hatuna uhitaji wa kutaka kuishi nje ya TZ hujasikia msemo unaosema Bongo New York?
Wanashindwa hata kutumia lile jangwa kuwa fursa kwa kupanda hata miti ya kuuza
 
Kwahiyo nikoboa Mpunga kuwa mchele ni manufacture mchele?🤣🤣🤣🤣
Rice milling is a manufacturing industry. Umewai tembelea any large scale milling factory kweli, I doubt hata unajua inafanana aje until ukimbie google.
 
Rice milling is a manufacturing industry. Umewai tembelea any large scale milling factory kweli, I doubt hata unajua inafanana aje until ukimbie google.
Neno factory lisikuzubaishe kijana hiyo bado ni food processing tuu. Ila nikichukua avocado iliyokuwa processed nikaitumia kama ingredient + other ingredients nikatengeneza cosmetics hiyo ni manufacturing.
 
Yes, leta statement from either Israel or Iran officials stating that Mosad was bombed, sio hizo YouTube za Kiswahili ya wasiojua chochote kama wewe.
Nimekuletea chombo Cha ASIA hapo umekisoma?
Unatafuta sababu za kisenge kukataa ukweli.
Hiko ni chombo cha mid east kimetoa hadi picha ya jengo.
Embu soma hapo chini ya picha panaeleza nini.

Screenshot_20250623-194823.png
 
Neno factory lisikuzubaishe kijana hiyo bado ni food processing tuu. Ila nikichukua avocado iliyokuwa processed nikaitumia kama ingredient + other ingredients nikatengeneza cosmetics hiyo ni manufacturing.
Don't you know food processing is also part of manufacturing. Ama hukua unajua?
 
Food processing sio manufacturing wewe kima. Manufacturing ni reserve ya industrial goods.
Kwa hivyo Azam juice is not a manufactured product? 🤣 🤣 🤣 Enyewe elimu ya bongoslum ina shida. Umesema manufacturing ni ya industrial goods pekee. Unaelewa maana ya industrial goods ama unaongea tu fwaaaa.
 
value addition to mono food product still is not manufacturing kichwa imekuwa mtungi wa kuhifadhia kamasi ama?
Manufacturing can be a component of value addition, kama hujui kitu ni heri unyamaze. Value addition is a very broad term.
 
Back
Top Bottom