Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

187 new hotels, 112 new apartment buildings, new 16 island hotels. Miradi yote iko na thamani ya $6 billion. Zile vijiji za kunya wanazoita cities zitafika huku karne ijayo. 🤣🤣🤣 .. Only in Zanzibar. šŸ‘‡šŸ¾
View: https://www.instagram.com/reel/DLPK-MCtzdr/?igsh=cGN5M3lyNHk3aTdj.

Kenya affordable housing mpaka 2032 inatarajiwa kuwa na dhaman ya
500bil ksh sawa na3.879 bil usd dollar , sasa huu uwekezaji wa hotel zanzibar ni mara mbili ya mradi wa wote wa affordable housing Kenya ambao ndo mradi wenye gharama baada ya sgr🤣🤣🤣🤣
 
Bandari ya kalemie ilikuwa haifanyi kazi ,sasa hivi ndo bado wako kwenye maboresho pamoja na reli hata hivyo kuna ujenzi wa vessels za zaid ya tan 5000 ulishapangwa ila wanavutia wawekezaji binafsi mpaka kufikia 2028 tutakuwa tayari tushapata vessels
Itakua poa sana,pale ni bonge la shortcut to congo,maana ni safari kama ya masaa 3 tu
 
Kenya affordable housing mpaka 2032 inatarajiwa kuwa na dhaman ya
500bil ksh sawa na3.879 bil usd dollar , sasa huu uwekezaji wa hotel zanzibar ni mara mbili ya mradi wa wote wa affordable housing Kenya ambao ndo mradi wenye gharama baada ya sgr🤣🤣🤣🤣
Ndugu zatu wao wamebakiza jidipii tu. 🤣🤣🤣 they always wish us to do good but never better than them. Sahii ndio muda uefika sasa.
 
Itakua poa sana,pale ni bonge la shortcut to congo,maana ni safari kama ya masaa 3 tu
Kwa kwenda kalemie na central drc sawa ila kwa kwenda Lubumbashi tunduma bado ni karibu sana kama drc walifanikiwa kufufua ile reli yao kwenda Lubumbashi na kuwa na meli kubwa pale za kuleta copper na madini mengine kutokea maneno mbalimbali ndani ya central drc basi speed ya sgr itatubeba sana maana kutokea dar- kgm itakuwa haizid masaa 10 na na kutokea kgm - kalemie hapazidi km 100 kwa hiyo ukipata ferry ya knot 15 tu masaa matatu mtu yuko kalemie inabaki ni speed ya kupakia na kupakua , ila tukiwa na meli za kuingiza mabehewa direct hata behewa 30 tu basi kigoma itaenda kuwa geneva
 
Ndugu zatu wao wamebakiza jidipii tu. 🤣🤣🤣 they always wish us to do good but never better than them. Sahii ndio muda uefika sasa.
Gdp sio chochote kama mna deficit ya exports versus import hii maana yake mnatumia hela nyingi kuagiza badala kuzalisha ili muuze sana .
Ukiangalia exports za bidhaa za viwandani baina ya Kenya na Tanzania , tz imeizid Kenya almost mara mbili , walichotuzid ni kuuza mbogamboga na chai ulaya na bado hata kwenye hiyo horticulture , bidhaa nyingi zinatoka tz kama avocados
 
L
Au tujenge daraja lingine across lake Tanganyika kabla la lile la Zanzibar?
Ziwa Tanganyika halifai hata kidogo kwa daraja wastan wa kina ni 572 m huku kina kirefu ikiwa ni mpaka 1472m , Victoria kina kirefu ni 82 m .
Kwa miaka ya karibuni maji yamekuwa yakiongezeka kwa mfano miaka ya 2005 kutokea Livingstone mpaka kwenye bandari bubu ya ujiji palikuwa pakavu pakiwa pamejazwa na migazi almost km kutokea Livingstone
Leo hii maji yamejaa kwa karibia meter 300 kwa kipindi kisichozid miaka 20.
Kuna upana wa km 72
 
Stories about JPM being treated in a neighboring country was all over the internet so wacha ubishi. It wasn't Kenyans who spoke about it as you purport. Actually, it's Tundu Lissu who spoke about it first openly.

Lissu might even go to Jupiter for checkups kijana wa Tandale. But the truth remains that he was treated at Nairobi Hospital View attachment 3379058
Magufuli daima asingeweza kutibiwa hata mafua huko Kenya, tundu lissu ilikuwa lazima aje Kenya kutokana na mazingira ya tukio lake na ukaribu wa naipori kutoka dar, na hata baada ya kuletwa huko ikabidi aondoshwe cz mlikuwa mmemukea mitungi ya gesi tu pasipo tiba, ndio mana akaondoshwa. Hamna kitu mnaweza nyie vilaza.
 
Tanesco nao ni wapumbavu na watu wao wanahusika! huwezi kuniambia wameshindwa kuweka camera kulinda miundombinu yao!
Kwanza tanesco wazinguaji , kuna haja gani ya kulazimisha kama Nina kiwanda changu nikinunua transformer yangu baada ya miaka 3 lazima iwe yao hapo ndo wanaanza kujiungnishia wakati transformer ni yangu. Kwanini wasiweke Sheria tu mfano mtu kama anauwezo kununua transformer na kumhudumia basi aruhusiwe kununua na kuifunga kazi yao ije kuwa kuunganisha umeme tu na kuwepo na gharama ya ukaguzi tu . Leo hii unaenda kuomba kuunganishiwa umeme wa kiwanda unaambiwa transformer zimeisha mpaka sijui zitoke wapi ushenzi matupu.
Wako local sana
 
Back
Top Bottom