Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

L
Au tujenge daraja lingine across lake Tanganyika kabla la lile la Zanzibar?
Ziwa Tanganyika halifai hata kidogo kwa daraja wastan wa kina ni 572 m huku kina kirefu ikiwa ni mpaka 1472m , Victoria kina kirefu ni 82 m .
Kwa miaka ya karibuni maji yamekuwa yakiongezeka kwa mfano miaka ya 2005 kutokea Livingstone mpaka kwenye bandari bubu ya ujiji palikuwa pakavu pakiwa pamejazwa na migazi almost km kutokea Livingstone
Leo hii maji yamejaa kwa karibia meter 300 kwa kipindi kisichozid miaka 20.
Kuna upana wa km 72
 
Stories about JPM being treated in a neighboring country was all over the internet so wacha ubishi. It wasn't Kenyans who spoke about it as you purport. Actually, it's Tundu Lissu who spoke about it first openly.

Lissu might even go to Jupiter for checkups kijana wa Tandale. But the truth remains that he was treated at Nairobi Hospital View attachment 3379058
Magufuli daima asingeweza kutibiwa hata mafua huko Kenya, tundu lissu ilikuwa lazima aje Kenya kutokana na mazingira ya tukio lake na ukaribu wa naipori kutoka dar, na hata baada ya kuletwa huko ikabidi aondoshwe cz mlikuwa mmemukea mitungi ya gesi tu pasipo tiba, ndio mana akaondoshwa. Hamna kitu mnaweza nyie vilaza.
 
Tanesco nao ni wapumbavu na watu wao wanahusika! huwezi kuniambia wameshindwa kuweka camera kulinda miundombinu yao!
Kwanza tanesco wazinguaji , kuna haja gani ya kulazimisha kama Nina kiwanda changu nikinunua transformer yangu baada ya miaka 3 lazima iwe yao hapo ndo wanaanza kujiungnishia wakati transformer ni yangu. Kwanini wasiweke Sheria tu mfano mtu kama anauwezo kununua transformer na kumhudumia basi aruhusiwe kununua na kuifunga kazi yao ije kuwa kuunganisha umeme tu na kuwepo na gharama ya ukaguzi tu . Leo hii unaenda kuomba kuunganishiwa umeme wa kiwanda unaambiwa transformer zimeisha mpaka sijui zitoke wapi ushenzi matupu.
Wako local sana
 

Wavumbistan yani huwa mna shida. Mtu amezuru nchi jirani alafu ashinde akiulizauliza viswali vya kuleta ugomvi akirekodi akipost.........hapo utapata aliwauliza Wakenya kama kumi wote wakajibu sahihi ila yule mmoja aliyejibu vingine ndio anapostiwa. Alafu kwa comment unapata watu wasema Kenya ina chuki, sasa hapo kuna chuki gani? 🤣 🤣 Your issues with Kenya are always self made.🤣🤣
 
Kila moja inabeba tani 1500
Bado ni ndogo sana
Behewa 25 ingependeza za kuanzia behewa 50 .
chrome_screenshot_Jun 23, 2025 2_47_08 PM GMT+03_00.png
 
Wavumbistan yani huwa mna shida. Mtu amezuru nchi jirani alafu ashinde akiulizauliza viswali vya kuleta ugomvi akirekodi akipost.........hapo utapata aliwauliza Wakenya kama kumi wote wakajibu sahihi ila yule mmoja aliyejibu vingine ndio anapostiwa. Alafu kwa comment unapata watu wasema Kenya ina chuki, sasa hapo kuna chuki gani? 🤣 🤣 Your issues with Kenya are always self made.🤣🤣
Huyo aliuliza swali hapo down ni Benjamin mwenye kampuni yenye thamani ya 100 billion Tz money, mmiliki wa NALA money. Sidhani kama anaweza kufanya hizo stories unazotuelezea.
 
Back
Top Bottom