IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Guys itabidi tumetoa kelelw hapa, there’s no way..
View: https://youtu.be/ScCglyce4NU?si=tSD4C0XZYf2JhhjT
View: https://youtu.be/ScCglyce4NU?si=tSD4C0XZYf2JhhjT
Anasemaga mimi ni Bertin. Bertin Mwenyew hana time na kenya, leo kapost yuko Zimbabwe huko.
Ukiona mtu anakuchukia bila sababu ujue deep down anakuadmire. He admires a lot Bertin
Kuna kamtaa ka Moi Avenue hapo mbele ya archives Nairobi wameweka new pavements na street lights, basi watu wote, mayoutuber wanakaongelea mitandaoni. Mtaa wenyew hata mita 500 hazifiki. Lakin kelele sasa.
Sasa tukija Dar, tuseme BRT 3 km zaidi ya 20 na zina pedestrian walkways na pavements mpya. Hakuna hata mbongo mmoja anayepiga kelele.
Wengine wako wanaitaja Tz. Wanakelele nyingi lakin deep down wanaiappreciate Tz.
View: https://youtu.be/Ou4xsY_5K9I?si=V6pE0YheH07fWrFj
hii kiti Km1000 naaa! Nyang'au mpo!! wao hata Malaba bado ujenzi haujaanzaSGR kutoka Bandari ya Mtwara nayo imefikiwa - Mungu ibariki Tanzania. Tunaelekea Malawi hapa:
Sasa utashobokea hata AI generated image jameniIla hii Kawe Arena kama itafanana hivi, it will be the best in Africa. The most beautiful indoor Arena in the continent. 👇🏾View attachment 3351194
Bertin is biased , ukuwe YouTuber usikuwe ina todauti gani? we una shida ya kuliwaza aiseeHii mbunda kumbe inamchukiaga Bertin kwasababu kumbe na yenyewe ni YouTubeer wa bei ya jioni. 🤣🤣🤣🤣 cheap traveler 👇🏾View attachment 3350992.. NairobiWalker. Kibera walker. 🤣🤣🤣 oyaa kaka The best 007. Njoo umuone mbaya wako.
hivyo hizi 1100 uki plus na zile 1000 na za mchuchuma na mtwara port tutakuwa na sgr ndefu sanaaaaaaaaaaaaaa!Kutoka Tanga Mpaka Musoma - Wakenya tunaenda kuwapiga dochi
View attachment 3351103
View attachment 3351108
Lishe mbovu!Hamna askari hapo 🤣🤣🤣
8 000 kidogo sana kwa kweli. Nlisikia akiongelea kuhusu Nyuklia, vipi?
Bashe ndio waziri pekee mwenye maono na uthubutu umo ndani bila uthubutu tutaishia kwenye render tuuMradi kama huu unataka Rais chizi kama Magufuli.
Maana budget yake sioni kama ni kidogo.
Bashe ni Waziri tu.Bashe ndio waziri pekee mwenye maono na uthubutu umo ndani bila uthubutu tutaishia kwenye render tuu
Kila kitu kitafanyika. Water grid ndiyo lagacy ya Mama Samia.Bashe ni Waziri tu.
Itategemea na budget atakayopewa.