Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Katika eneo kubwa sana la Dar ambalo halijawa exposed humu ni kuanzia Tabata mpaka Mbezi Luis via Goba, Mbezi Luis Mpaka Airport via Kinyerezi, kuna neighborhood Kunyaland wana dream tu lakini siku wakiona hayo maeneo watajua Dar sio level yao, explore with Bertin angefly drone huko hii battle ingefungwa ni replica ya Masaki kabisa mixer Mbweni


View: https://www.instagram.com/p/DKKq_hTMPED/?igsh=ZG80ZWhxYjhiZmVk

I’m telling you bro. Na hiyo ndio Dar iliyopo kichwani kwangu.
 
Our own. Tanzanians are blessed with Talents. Kili paul representing Tanzania in India. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DKRurfWp_2I/?igsh=OHRjanJ3MXV3cXN0. Kili paul ni bounge la star huko India. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DKJQN4ePirq/?igsh=cjg5cnlxeGljMWFx. Hili taifa sio la kawaida. Hao majirani zetu wapumbavu ni wapiga kelele tu. 🤣🤣🤣

Majirani wanachokiweza ni kutukana na kufanya social media bullying and harassment hawana ustaraabu. Na kile walichokifanya kumtukana Rais wetu kita wa cost sana. Nchi nyingi zitajitenga nao.
 
Ila hii Kawe Arena kama itafanana hivi, it will be the best in Africa. The most beautiful indoor Arena in the continent. 👇🏾
IMG_8054.png
 
Arusha stadium in the other hand. It is just wonderful structure . 👇🏾
IMG_8054.jpeg
imagine having a facility of this caliber in our 3rd most most developed city. Yoo this one is incredible. 🔥🔥🔥. Arusha’s future is promising. Niko sure serikali ikikamilisha MKICC, na ile miradi miwili ya dual carriage ways., Kigali inakaa asubuhi kweupeee.
 
Back
Top Bottom