Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I’m telling you bro. Na hiyo ndio Dar iliyopo kichwani kwangu.
Ukiingia ndani huko mpiji magoe kuna mijengo ya adabu kule na mazingira amazing sana na wala sio nyumba mbili tatu ni thousands of decent homes ambazo Kunyaland ni nyumba za vibopa, maeneo yote haya yana miti mingi na mandhari nzuri sana, unashangaa wakundustan wanapata wapi guts za kulazimisha Dar iwe na slum wakati wakazi wengi wa Dar wanakaa maeneo kama haya
 
Hichi kibera walker. NairobiWalker kwenye video yake, 👇🏾.
View: https://youtu.be/mP719lUq-9s?si=kBdqvqSIbWrTRcr0. Kametembea barabara hizo hapo 👇🏾 and claiming eti he’s showcasing Dar CBD. 🤣🤣🤣
IMG_8061.jpeg
mtu mmoja kwenye comment section akamiuliza. Is this what you are showing us Dar CBD.? 👇🏾
IMG_8050.jpeg
🤣🤣🤣 huwa najiuliza sasa, kwanini wakenya wanaiogopa Dar sana.? Wanajaribu kui downgrade ili iweje sasa.? Kwamba watu wasijue uzuri na maendeleo yake au.? Na mbona ni ngumu sana kubadili vitu vinavyoonekana kwa macho.?

By the way, bwana kibera walker maeneo uliyotembea hasa mtaa wa lumumba na mnazi mmoja umeona yakiwa na michanga sana kwasababu all those roads are under construction 🚧. Hata kama uliamua kuwadanganya watu humu ndani (wakundurendas wenzako) kwa Dar ni chafu ina mchanga sana. 🤣🤣🤣 now they know a reason behind.
 
Hichi kibera walker. NairobiWalker kwenye video yake, 👇🏾.
View: https://youtu.be/mP719lUq-9s?si=kBdqvqSIbWrTRcr0. Kametembea barabara hizo hapo 👇🏾 and claiming eti he’s showcasing Dar CBD. 🤣🤣🤣View attachment 3351295mtu mmoja kwenye comment section akamiuliza. Is this what you are showing us Dar CBD.? 👇🏾View attachment 3351299🤣🤣🤣 huwa najiuliza sasa, kwanini wakenya wanaiogopa Dar sana.? Wanajaribu kui downgrade ili iweje sasa.? Kwamba watu wasijue uzuri na maendeleo yake au.? Na mbona ni ngumu sana kubadili vitu vinavyoonekana kwa macho.?

By the way, bwana kibera walker maeneo uliyotembea hasa mtaa wa lumumba na mnazi mmoja umeona yakiwa na michanga sana kwasababu all those roads are under construction 🚧. Hata kama uliamua kuwadanganya watu humu ndani (wakundurendas wenzako) kwa Dar ni chafu ina mchanga sana. 🤣🤣🤣 now they know a reason behind.

Tena NairobiWalker hajaomba picha vile ulikuwa unasema?
 
Hii mbunda kumbe inamchukiaga Bertin kwasababu kumbe na yenyewe ni YouTubeer wa bei ya jioni. 🤣🤣🤣🤣 cheap traveler 👇🏾View attachment 3350992.. NairobiWalker. Kibera walker. 🤣🤣🤣 oyaa kaka The best 007. Njoo umuone mbaya wako.
Anasemaga mimi ni Bertin. Bertin Mwenyew hana time na kenya, leo kapost yuko Zimbabwe huko.

Ukiona mtu anakuchukia bila sababu ujue deep down anakuadmire. He admires a lot Bertin


Kuna kamtaa ka Moi Avenue hapo mbele ya archives Nairobi wameweka new pavements na street lights, basi watu wote, mayoutuber wanakaongelea mitandaoni. Mtaa wenyew hata mita 500 hazifiki. Lakin kelele sasa.

Sasa tukija Dar, tuseme BRT 3 km zaidi ya 20 na zina pedestrian walkways na pavements mpya. Hakuna hata mbongo mmoja anayepiga kelele.

Wengine wako wanaitaja Tz. Wanakelele nyingi lakin deep down wanaiappreciate Tz.

View: https://youtu.be/Ou4xsY_5K9I?si=V6pE0YheH07fWrFj
 
Busiest with residential houses.🤣🤣
Ushamba mwingi, kwan ni lazima watu wakae mbali na business area.
Huu ndo USHAMBA ninaoutaja wa kikenya.

Kariakoo ni unique.
Kariakoo buildings baadhi ni mixed use. Kuaccomodate kila mtu. Nyingi floor za juu huwa ni store, airbnbs, hostels, lodges nk.
Which is fine, and that makes Kariakoo kugrow haraka sana due to demand
 
Back
Top Bottom