Hichi kibera walker.
NairobiWalker kwenye video yake, 👇🏾.
View: https://youtu.be/mP719lUq-9s?si=kBdqvqSIbWrTRcr0. Kametembea barabara hizo hapo 👇🏾 and claiming eti he’s showcasing Dar CBD. 🤣🤣🤣
View attachment 3351295mtu mmoja kwenye comment section akamiuliza. Is this what you are showing us Dar CBD.? 👇🏾
View attachment 3351299🤣🤣🤣 huwa najiuliza sasa, kwanini wakenya wanaiogopa Dar sana.? Wanajaribu kui downgrade ili iweje sasa.? Kwamba watu wasijue uzuri na maendeleo yake au.? Na mbona ni ngumu sana kubadili vitu vinavyoonekana kwa macho.?
By the way, bwana kibera walker maeneo uliyotembea hasa mtaa wa lumumba na mnazi mmoja umeona yakiwa na michanga sana kwasababu all those roads are under construction 🚧. Hata kama uliamua kuwadanganya watu humu ndani (wakundurendas wenzako) kwa Dar ni chafu ina mchanga sana. 🤣🤣🤣 now they know a reason behind.