concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,284
- 14,312
Wanakurupukaga sana humo hata balozi hayupo ila wametumia picha ya gari ya TanzaniaBalozi katoka zake anaenda viwanja wanataka asishushe bendera! 😂😂😂
Muambie Bongo bado watu wanaheshmu bendera.
Haha sasa mmeshindwa kuprove hiyo gari ni yabalozi wa Tanzania mmezoea kuforge vitu ,🤣🤣🤣🤣🤣Ulishatuambia personal cars hazikubalishwi kuweka flag in Bongoslum. Naona sasa umeanza kuchange tune. Hujielewi wewe.
Hiyo gari kwa Tanzania tunaweza kutuletea mpaka mmiliki ndani ya dakika tano na Hana hata KAZI inayohusiana na ubalozi wa tanzania