Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Content ya hii mbunda kibera walker hii hapa. 🤣🤣🤣 👇🏾
View: https://youtu.be/mP719lUq-9s?si=ojKOgt2j4Pqwv4Ja. Mara tunapigizana kelele na hii mbwa eti na yenyewe inadai inajua Kiswahili. 🤣🤣🤣 Haya iskilizeni inavyoongea, mbunda hii. Njia nzima wanabisha na demu wake jinsi ya kushika camera. 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣 wonders shall never end. Njoo hapa fala mkubwa wewe NairobiWalker. Mbunda kibera walker 👇🏾View attachment 3350391

Hiyo pua alipatwa na nn?
 
Ushamba mwingi, kwan ni lazima watu wakae mbali na business area.
Huu ndo USHAMBA ninaoutaja wa kikenya.

Kariakoo ni unique.
Kariakoo buildings baadhi ni mixed use. Kuaccomodate kila mtu. Nyingi floor za juu huwa ni store, airbnbs, hostels, lodges nk.
Which is fine, and that makes Kariakoo kugrow haraka sana due to demand
Airbnb Kariakoo?🤣🤣
Dar es salaam jameni 😂😂
 
Just know that mahindi mnauza Kenya zinalimwa na wakenya wenye wamekodisha shamba Tanzania.
Toka hapo Kibera kwanza ujifunze.

Maana nikitaka kukuelimisha hapa nitachoka.

Kwa kifupi tu, TZ hakuna large scale farming ya agricultural products.

80% ya WaTZ wanalima mashamba yao.
 
Back
Top Bottom