Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Ukipost hivyo Ndio kwamba hii hatutajenga au.? 🤣🤣🤣👇🏾Sasa utashobokea hata AI generated image jameniView attachment 3351464View attachment 3351465
Ukipost hivyo Ndio kwamba hii hatutajenga au.? 🤣🤣🤣👇🏾Sasa utashobokea hata AI generated image jameniView attachment 3351464View attachment 3351465
Una link ya kudownload. Nataka niisomeNawaletea Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025 - 2030
Baadae nitaanza kuweka vipande vipande. File lipo na 168mb nimeshindwa ku upload. Nitaweka vipande vipande hapa:
View attachment 3351066
Zipo Version 3. Hii yenye picha ni kubwa sana.Una l
Una link ya kudownload. Nataka niisome
Hawa jamaa wanatuchukia si sababu ya CCM, ni wivu Tu kwa sababu tunafuraha. Yani amani yetu na furaha yetu inawauma mno, wakitiona, hatuna shida na mtu, hatulalamiki sana, sio kwamba hatuna shida, ila watu wanapambana kutatua shida bila ya kupigana, kutukanana yani inawauma balaa.CCM ni ya TZ wanaoumia wakenya.
Baboon kwa ubora wake. Naskia uliwekwa chairman wa all baboons?Ushakula we muuza mitumba.? 🤣🤣🤣 njaa Ndio inakusumbua mbunda wewe
Kili ndio nani sasa wanaume wa umbea kama wanawake?Kunyan wanadanganya bila aibu kili ni wa kwao,jamaa washamba sana
USHAMBA unakusumbua.Airbnb Kariakoo?🤣🤣
Dar es salaam jameni 😂😂
Online Harasment and Cyberbullying haiwezi kukufanya uwe na akili.Baboon kwa ubora wake. Naskia uliwekwa chairman wa all baboons. By the way I deal with several products, not cloths pekee.
The fact that Jelly fish has lived more than 1 billion years without brain should give you enough faith and hope to continue living in this world.Online Harasment and Cyberbullying haiwezi kukufanya uwe na akili.
Weka development za kenya tuone kijana. Achana na CyberbullyingThe fact that Jelly fish has lived more than 1 billion years without brain should give you enough faith and hope to continue living in this world.
My point is, it's too noisy for an Airbnb. I wouldn't choose such a place to stay inUSHAMBA unakusumbua.
Mimi mwenyew nikipata floor nzima ya sehemu kariakoo naifanya Airbnb. That business pays a lot. Because people from Zambia, Kenya, Burundi, congo wanakuja Daily kununua vitu at wholesale in Kariakoo. Wanahitaji mahali safi na safe pa kulala just near the business area.
Call that one a lodging, not Airbnb. Umesikia bongolala?Kariakoo kuna hotels, residential apartments na airbnb kwa ajili ya wafanya biashara hawataki kulaa mbali na business centre ya kko akimaliza kufunga mzigo anasepa sasa cha ajabu nini hapo?
Sasa unataka kusema nini hapa? Sijaelewa point yako. Unadhani hatutajenga?
Suddenly hawa ni wale wa “asante kwa render” heri render juu ni artistic impression based on real world application and takes account of the scale, materials,structure etc and can be translated to an actual building ,sasa hii sio render ni AI generated image, based on a text prompt😅😅Ukipost hivyo Ndio kwamba hii hatutajenga au.? 🤣🤣🤣👇🏾View attachment 3351684
UnambwatoKili ndio nani sasa wanaume wa umbea kama wanawake?
Sasa tunaongelea Manifesto ya Uchaguzi 2025. Unataka Kwenye Manifesto waje na Majengo? Poor KenyanSuddenly hawa ni wale wa “asante kwa render” heri render juu ni artistic impression based on real world application and takes account of the scale, materials,structure etc and can be translated to an actual building ,sasa hii sio render ni AI generated image, based on a text prompt😅😅