President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,763
- 89,785
Tunajenga Studio ya Kisasa ya Filamu
It's Karema na si Kalema! Hawa waandishi vp?Bandari ya Bagamoyo Kujengwa.
Bandari ya Musoma Itasaidia kupeleka mizigo kwa urahisi Uganda. Tunawapiga mtungo Wakenya
Kalema Kuelekea Congo DR
View attachment 3351111
Hivyo vimitaa vidogo ambavyo havifii hata asilimia mbili ya slums zenuKibera is the biggest bongolala and measures only 2.5 square kilometers. Sasa linganisha na uswazi zenu zilizotapakaa kila mahali.
When you step out of Kibera, you enter decent residential areas unlike Dar ambapo uswazi ni kila eneo.
Look at Lang'ata below which neighbors Kibera slumView attachment 3349041View attachment 3349116View attachment 3349117View attachment 3349118View attachment 3349119View attachment 3349121View attachment 3349123View attachment 3349124View attachment 3349125
Now show us areas neighboring Mazense slum tuone
Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) Awamu ya IV - VI katika barabara za Ali Hassan Mwinyi – Morocco - Mwenge - Tegeta na Mandela kuanzia makutano ya Ubungo na Bandari, makutano ya Mandela/ Tabata – Tabata Segerea na Tabata – Kigogo;
Kuanza ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Bandari ya Mtwara hadi Mbamba Bay na tawi lake kutoka Songea hadi Ludewa ili kuunganisha na mradi wa makaa ya mawe (Liganga) na madini ya chuma (Mchuchuma);
Kujenga kipande reli ya kisasa (SGR) kutoka Itigi hadi Singida;
Kujenga meli ya mizigo kutoka Mtwara kwenda visiwa vya Comoro, nchi ambayo inaitegemea Tanzania kwa bidhaa nyingi muhimu, ikiwamo chakula
Kujenga kiwanda cha ujenzi wa meli chenye uwezo wa kuhimili meli zenye uzito wa tani 5,000 katika Ziwa Tanganyika;
Kukamilisha ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Mwanza na kukipandisha hadhi kuwa cha Kimataifa;
Serikali itajenga Jumba la Sanaa la Kitaifa Dodoma (National Arts Gallery);
Kujenga maktaba ya kisasa ya kitaifa ya muziki na filamu (National Music and Film Dijital Library);
Mwakishi wa chama tawala CPRF Russia amekuja bongo kumwakilisha Putin kwenye mkutano wa CCM. 👇🏾.
View: https://youtu.be/lF_ln5fryz0?si=QLmexw_V3XuV3uDk. Kunyans must know Sisi sio wa mchezo mchezo.
Huu uwanja umefikia wapi?Kiwanja cha ndege Mwanza kuwa cha Kimataifa - Tanzania Moto