game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,336
Uchaguzi Gani wa Tz mkuu. Wakunya hawana uwezo wakuvuruga uchaguzi wa Tz, though as it stands ni heri huo uchaguzi usiweko kabisa. Nchi hii inaongozwa na vilaza wa mwisho, average to low IQ score, akili zao ni kupiga tu.Mzee kama hujui kilichonyuma ya pazia bora ungekaa kimya uache vyombo vya usalama vifanye kazi. Amani tuliyonayo hii ni muhimu kuliko demokrasia.
Wakenya walilipwa pesa na Ubelgiji kwaajili ya kuvuruga uchaguzi wa Tanzania.
Test yao walianzia kwa Mwambukusi wakashinda. Next step ilikuwa kuharibu uchaguzi. Walikuwa wamepanga kuingiza watu toka kenya kuja kuvuruga uchaguzi.
Ile ya #Rutomustgo ili target yao ni Tanzania ili nao wafuate mkumbo. But ilibuma wakaja na plan B. Nayo tumeiona.
Next step itakuwa kufunga mpaka wa kenya na Tanzania kila mtu abaki kwenye nchi yake mpaka next year mwezi wa kwanza.
Pamoja na hayo yote, namsifu Rais kwa kusimama kidete kwenye hili la wakunya kudhani Tanzania ni Kunya, trying to infiltrate their bad manners, Tena to me deporting them wasn't enough, Hawa walitakiwa waunganishwe kwenye kesi. Wakunya ni viumbe Fulani wasio na malezi, they have to be manacled.