Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee kama hujui kilichonyuma ya pazia bora ungekaa kimya uache vyombo vya usalama vifanye kazi. Amani tuliyonayo hii ni muhimu kuliko demokrasia.

Wakenya walilipwa pesa na Ubelgiji kwaajili ya kuvuruga uchaguzi wa Tanzania.

Test yao walianzia kwa Mwambukusi wakashinda. Next step ilikuwa kuharibu uchaguzi. Walikuwa wamepanga kuingiza watu toka kenya kuja kuvuruga uchaguzi.

Ile ya #Rutomustgo ili target yao ni Tanzania ili nao wafuate mkumbo. But ilibuma wakaja na plan B. Nayo tumeiona.

Next step itakuwa kufunga mpaka wa kenya na Tanzania kila mtu abaki kwenye nchi yake mpaka next year mwezi wa kwanza.
Uchaguzi Gani wa Tz mkuu. Wakunya hawana uwezo wakuvuruga uchaguzi wa Tz, though as it stands ni heri huo uchaguzi usiweko kabisa. Nchi hii inaongozwa na vilaza wa mwisho, average to low IQ score, akili zao ni kupiga tu.
Pamoja na hayo yote, namsifu Rais kwa kusimama kidete kwenye hili la wakunya kudhani Tanzania ni Kunya, trying to infiltrate their bad manners, Tena to me deporting them wasn't enough, Hawa walitakiwa waunganishwe kwenye kesi. Wakunya ni viumbe Fulani wasio na malezi, they have to be manacled.
 
New modern Arusha bus terminal at Bondeni U/C
GVMII76XYAA6f3s


GVMII76WsAADdh6



GGhuy-9XgAA5iI3
Kwa these kind of infrastructures tuko kwenye daraja letu wenyewe hapa East Africa
 

Breaking news..
Omondi discovered in the US begging after bad mouthing Diamond!
 
Back
Top Bottom