Mkuu tuwe serious kwenye hili nadhani serikali imekosea, huwez endelea popote pale kwa kukandamiza haki za watu. Hapa siku zote tunalalamika kuwa Kuna ufisadi ila ikitokea mtu kauzungumzia ufisadi ni mhaini , kwahiyo lisu kuongelea kuhusu makaa ya mawe ni uhaini.
Ushatembelea kusini au mbinga ukaona makaa ya mawe yanavyosombwa ?
Ebu tuambie kwa mwaka Jana exports za makaa ya mawe ni kiasi gani.
Kuna kampuni kama
Mighty
Ruvuma coal.
Specialized
Hizo mfano tu kwa siku zinatoka zaid ya trucks 200 kwa Kila kampuni ya makaa ya mawe , bado yanayoenda Kenya,Rwanda Uganda Zambia ila exports hatuzioni.
Serikali inatakiwa ijenge hoja sio kukamata