babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Kuna hawa wawili bado wameshikiliwa.Hakika, pamoja na yote kwa hili wakunya amefanya vema, japo ingekuwa Mimi ningeweka ndani kwanza Hata siku mbili pale staki shari wakae na mateja, washike adabu. Kuna upumbavu sana kunya , inafika hatua wanarushia viatu rais wao, wamedekezwa. ujinga huo hata US au UK au nchi yoyote ya Ulimwengu wa Kwanza huwezi fanya ukaachwa tu, mijitu Fulani isiyofunzwa adabu. Ilitakiwa wafinywe kwanza makende ndio warudishwe kwao mlima Kenya.
View: https://x.com/winniekiiza/status/1924535388913221894?s=46