Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakika, pamoja na yote kwa hili wakunya amefanya vema, japo ingekuwa Mimi ningeweka ndani kwanza Hata siku mbili pale staki shari wakae na mateja, washike adabu. Kuna upumbavu sana kunya , inafika hatua wanarushia viatu rais wao, wamedekezwa. ujinga huo hata US au UK au nchi yoyote ya Ulimwengu wa Kwanza huwezi fanya ukaachwa tu, mijitu Fulani isiyofunzwa adabu. Ilitakiwa wafinywe kwanza makende ndio warudishwe kwao mlima Kenya.
Kuna hawa wawili bado wameshikiliwa.

View: https://x.com/winniekiiza/status/1924535388913221894?s=46
 
Si wakahudhurire huko Sudani wanakopigana Vita tangu uhuru ? Au wakafanye harakati zao Adis Ababa wale Wana migogoro mikubwa Zaidi? Waone kama hawajanyofolewa makende na kukatwa vichwa in public.
Omba yasikukute , maisha Huwa ni mzunguko , Leo unaweza kuona Haina shida ila kesho ukajikuta ni mkimbizi .
Hata hawa unaowatetea Leo nao ni mapandikizi ya hao mabepari unaowaponda na ndio maana hawaheshimiki ona wenzako huko walioamua kutetea rasilimali na raia wao wanavyoheshimika duniani
 
Omba yasikukute , maisha Huwa ni mzunguko , Leo unaweza kuona Haina shida ila kesho ukajikuta ni mkimbizi .
Hata hawa unaowatetea Leo nao ni mapandikizi ya hao mabepari unaowaponda na ndio maana hawaheshimiki ona wenzako huko walioamua kutetea rasilimali na raia wao wanavyoheshimika duniani
Mkuu kwenye hili tutapingana wenyewe kwa wenyewe, Lisu ni traitor na hastahili maisha hata siku mbili juu ya huu uso wa dunia, hivi inahitaji elimu ya darasa la ngapi kujua kwamba lisu ni msaliti wa hili taifa.? JPM aliwahi kusema hadharani maneno haya. 👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=BGrDG7s803FNUZkn. Huyo mpumbavu ni wakufa tu. Naona wanacheka cheka nae tu.
 
Mkuu kwenye hili tutapingana wenyewe kwa wenyewe, Lisu ni traitor na hastahili maisha hata siku mbili juu ya huu uso wa dunia, hivi inahitaji elimu ya darasa la ngapi kujua kwamba lisu ni msaliti wa hili taifa.? JPM aliwahi kusema hadharani maneno haya. 👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=BGrDG7s803FNUZkn. Huyo mpumbavu ni wakufa tu. Naona wanacheka cheka nae tu.

Sipingani na wewe ila tungepata hints za wapi alipotuletea usnitch badala ya maneno.
Hapo ulicholeta ni hotuba ya mtu kumsema mwenzake ni snitch ila hakuna evidence sasa wewe ilitakiwa utuaminishe kwa evidence ya either picha au akipokea pesa ili kuja kutusnitch .
CHukulia mfano wa guinea na Burkina Faso kabla ya mapinduzi Kila mtu aliyekwenda kinyume na watawala alikuwa gaidi na walizuia kabisa taarifa zisifike kwa raia . Haya tuambie kati ya watawala waliopita na hawa sasa hivi wapi walikuwa masnitch
 
Mkuu kwenye hili tutapingana wenyewe kwa wenyewe, Lisu ni traitor na hastahili maisha hata siku mbili juu ya huu uso wa dunia, hivi inahitaji elimu ya darasa la ngapi kujua kwamba lisu ni msaliti wa hili taifa.? JPM aliwahi kusema hadharani maneno haya. 👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=BGrDG7s803FNUZkn. Huyo mpumbavu ni wakufa tu. Naona wanacheka cheka nae tu.

Kwahiyo huu ni uchonganishi? Au sio kweli makaa ya mawe yanatoka ? Unaweza kutupa serikali imeingiza kiasi gani kupitia makaa ya mawe

View: https://youtu.be/TdCkjaIH2rU?si=rGQMr_7dQS-7wbZJ
 
Sasa weww utamdharau nani.? 🤣🤣🤣 ushamaliza kulipa deni la TV uliyokopa.?
IMG_0519.jpeg
 
Mkuu kwenye hili tutapingana wenyewe kwa wenyewe, Lisu ni traitor na hastahili maisha hata siku mbili juu ya huu uso wa dunia, hivi inahitaji elimu ya darasa la ngapi kujua kwamba lisu ni msaliti wa hili taifa.? JPM aliwahi kusema hadharani maneno haya. 👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=BGrDG7s803FNUZkn. Huyo mpumbavu ni wakufa tu. Naona wanacheka cheka nae tu.

Wakati JPM anapambana kubadilisha sheria za madini pamoja na kuzuia makinikia miaka ile nakumbuka huyo Lissu akaanza kutishia nchi kuwa tutashitakiwa MIGA kisa tu sheria zetu mpya za madini.
Hawa watoto wanaoshabikia siasa juu juu changamoto sana.
Yaani nchi yako inapambana kurekebisha sheria za madini ili kunufaisha nchi wewe unakuja kupinga na kukatisha tamaa.
Sasa hivi sheria mpya za madini zinanufaisha nchi.

 
Unatamani uamke ukute ma slums hayapo lkn ndiyo haiwezekani, nyie wakenya wa kizazi hiki cha kipumbavu mtakufa wote mkiacha ma slums yame triple.
We are eradicating them everyday. On the other hand, slums zenu aka uswazi zipo zimetapakaa kila mahali and there's no measures being taken to eradicate them. Alafu ulivyo mpumbavu unaona mko na unafuu!
 
Kwamba hivyo vijumba viwili vitatu ndiyo vi accomodate more than 2.5m slum dwellers in Kibera alone?
Only a stupid watchman like you would believe that 2.5 million people can actually fit an area measuring just 2.5 square kilometer in a place with no highrises. That's a population density of a million people per kilometer. Kuwa mtanganyika ni garama!!
 
Hebu mskilize huyu mwehu 👇🏾
View: https://youtube.com/shorts/AyV3p-QPw-8?si=OCWOtVhVj-wOJRaF. Halafu aachwe tu.? Sindio.? Kwasababu ni siasa.?

Chombo kinachoweza akiamua kwamba huu ni uhaini au sio uhaini ni mahakama tu na bahati nzuri mahakama hiyo ipo Tanzania, Ina mahakimu watanzania, mawakili wa kitanzania walinzi wa kitanzania.
Inakuwaje mpaka Leo Tena kwa ushahidi huo unaosema ni video mkaogopa kusiwe na uwazi wa baadhi ya watu wa mataifa mengine kuhudhuria.
Kumbuka hapo mawakili na unaowaiita wanasiasa hawatakiwa na uwezo wa kusimama mahakamani zaid ya kusikiliza .
Kuweni professional buana.
Kila siku hapa tunawasema wakenya ila bado hata vitu vidogo ambavyo vingeendelea kutuwekea heshima ya kuwa kisiwa cha amani tunashindwa kuvimantain.
Hivi wakati mnawahifadhi wapigania uhuru wa msumbiji, south Africa ,Uganda na kadhalika haikuwa kuingilia mambo ya nchi nyingine.
Tuache uchawa hii nchi ikiharibika kama mnavyotaka iende tutaumia wote na hata wewe ambaye unatetea uchawa
 
Wakati JPM anapambana kubadilisha sheria za madini pamoja na kuzuia makinikia miaka ile nakumbuka huyo Lissu akaanza kutishia nchi kuwa tutashitakiwa MIGA kisa tu sheria zetu mpya za madini.
Hawa watoto wanaoshabikia siasa juu juu changamoto sana.
Yaani nchi yako inapambana kurekebisha sheria za madini ili kunufaisha nchi wewe unakuja kupinga na kukatisha tamaa.
Sasa hivi sheria mpya za madini zinanufaisha nchi.

JPM alieleza hadharani habari hizi.. wakati ule jamaa alijaribu kumpinga JPM karibu katika kila alichofanya, yeye ni mmoja kati ya Raia wapumbavu waliojaribu kulidhohofisha shirika letu la ndege kwa kupinga manunuzi ya ndege zile Bombadier Q400, alifanya kila jitihada kudhohofisha marekebisho ya sheria za madini Tz, sasa je huyo mtu analitakia mema taifa..? Sasahivi tunajivunia maendeleo ya nchi yetu, hispitali, shule, madini, miundombinu ya barabara, reli na madaraja, shirika letu la ndege ni kuubwa sasahivi.. JPM asingekua ngangari kijamaa kingemyumbisha. lazima tutangulize Tanzania kwanza kaka, mimi simuungi mkono mama, lakini likija suala la Tanzania yangu nitamuunga mkono bila kupepesa.
 
Wakati JPM anapambana kubadilisha sheria za madini pamoja na kuzuia makinikia miaka ile nakumbuka huyo Lissu akaanza kutishia nchi kuwa tutashitakiwa MIGA kisa tu sheria zetu mpya za madini.
Hawa watoto wanaoshabikia siasa juu juu changamoto sana.
Yaani nchi yako inapambana kurekebisha sheria za madini ili kunufaisha nchi wewe unakuja kupinga na kukatisha tamaa.
Sasa hivi sheria mpya za madini zinanufaisha nchi.

Sasa unachotetea nini je ni kweli hatukushindwa kesi na kama kweli alikuwa mzalendo kweli kwanini haku deal na waliingia hii mikataba.
Yaan mnaingia mikataba ya kipumbavu wenyewe yakiwafika mnatafuta mlango wa nyuma ili muonekane wazalendo🤣🤣🤣🤣
Subscribe
Kitaifa
Serikali yashindwa kesi, yatakiwa kulipa fidia Sh260 bilioni
Jumanne, Julai 18, 2023


By Kelvin Matandiko

Mwandishi wa habari

Mwananchi

Muktasari:
Serikali imetakiwa kulipa fidia ya dola 109 milioni (Sh260 bilioni) kwa Kampuni ya Indiana Resources iliyoshinda kesi katika Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji (ICSID) baada ya kujiridhisha uwepo wa ukiukwaji wa mkataba wa uwekezaji katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill mwaka 2018.










 
Back
Top Bottom