concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Hawez kukuelewa huyo mfuata upepoTanzania tulishakataa chanjo za mRNA za covid, kuna mpaka Dr mmoja aliongelea hili kwenye TBC, kuwa hazikufuata utaratibu. Sasa ghafla, kampeni ya kuzigawa kwa watu zikaanza, leo hii imeonekana wazi kuwa waliochanja wanapata matatizo ya moyo, wengine kansa. Ilikuwaje CCM ikubali hilo kwa wananchi wake? Ilikuwa ni kumfurahisha nani?