Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,996
- 33,233
Nairobi is back to being horizontal construction site.
View: https://youtu.be/FnwR3IpuQwY?si=HfxnldfQgVy8ZOIe
View: https://youtu.be/FnwR3IpuQwY?si=HfxnldfQgVy8ZOIe
Ni Timu ya Taifa kabisa ya Wanaume,ila na upande wa wanawake tuko namba 2 nyuma ya Morocco kama huku Kwa Wanaume 👇👇Hao EastAfrica Radio hovyo sana, ya nini kutuweka roho juu, kwa kuweka picha za akina Samatta na Kibu wakati ni timu ya wanawake?
Ironically, one distinctive aspect of Kenya is its lack of distinctivenessNdio walivyo.
Wanafanya ujinga. Halafu wanau halalisha.
Hawataki kujifunza.
Hata Kiswahili chao, hawajui ila wanajifanya wako sawa tu, ndio Version yao ya Kiswahili wanaita Sheng.
Kibera, utasikia tunapata watalii😅
Ni Timu ya Taifa kabisa ya Wanaume,ila na upande wa wanawake tuko namba 2 nyuma ya Morocco kama huku Kwa Wanaume 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DJuTZm2sVBf/?igsh=MWJtM3dpOTI5em0zdQ==
Yapo baada ya ponti 3 za mezaniSikuwa na fuatilia, vipi bado kuna matumaini?
Na huku tumefuzu 👇👇Yapo baada ya ponti 3 za mezani
Ni Timu ya Taifa kabisa ya Wanaume,ila na upande wa wanawake tuko namba 2 nyuma ya Morocco kama huku Kwa Wanaume 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DJuTZm2sVBf/?igsh=MWJtM3dpOTI5em0zdQ==
Hiyo village supermarket inafanana na slipway waterfront masaki kuleVillage market yenyewe inaonekana kama render eti?.., Kenya ni 🔥🔥🔥🔥, kama render mwanangu🤣🤣🤣 real place, this picture is from a clip it was frozen.., noma!
View attachment 3334089
watu wanakwenda mbele miaka 100 kuna binaadamu wanaenda nyuma miaka 300 hvi unataka kunambia even population ya leo lamu ni sawa na miaka 100 iliopita?Lamu has a no motorvehicle policy, a small island where you don’t really need vehicles, very rich in culture and history… donkeys are a means of transportation and I don’t see what is wrong with it so sijui mbona unacheka
toka Air tanzania ifufuliwe ina miaka mingap? na Air tanzania imeaanza kupokea ndege brand new kila baada ya miaka 2, nyie muko kwenye market over 45 yrs na hata hujiskii aibu kuona air tanzania imefufuliwa 7 yrs na still inawapumulia kwenye kijambio 😂😂😂
Kingine KQ Hipo hapo kwa hisani ya KLM!toka Air tanzania ifufuliwe ina miaka mingap? na Air tanzania imeaanza kupokea ndege brand new kila baada ya miaka 2, nyie muko kwenye market over 45 yrs na hata hujiskii aibu kuona air tanzania imefufuliwa 7 yrs na still inawapumulia kwenye kijambio 😂😂😂
Siku aliyopost hiyo village market nilitaka nilete comeback ya slipway nikakosa picha kali mtandaoni.Hiyo village supermarket inafanana na slipway waterfront masaki kule
Hebu taja mtaa wowote wa kulinganishwa na Nyali hapo Arusha tuoneTusipigizane kelele ground inajieleza enyewe.
Nyali itawezana na uzunguni.?Hebu taja mtaa wowote wa kulinganishwa na Nyali hapo Arusha tuone
Uzunguni ndio jina ya mtaa?Nyali itawezana na uzunguni.?
Sasa wewe myemen unataka Walamu waache mila na tamaduni zao ili iweje?watu wanakwenda mbele miaka 100 kuna binaadamu wanaenda nyuma miaka 300 hvi unataka kunambia even population ya leo lamu ni sawa na miaka 100 iliopita?
kwann hua munatafuta kichaka cha kujificha kwenye ukweli? au lamu haiko kwenye list ya counties masikini kenya? si tunaona vijana karibu 80% wameharibika na madawa ya kulevya lamu au kuna lamu nyingine kenya? 😂😂😂😂