Unajifanya huoni.Hebu ipoint hiyo barabara ya vumbi tuone basi 🤣🤣🤣🤣 kumbe umeona hadi barabara za vumbi na hautuambii.?
Unajifanya huoni.Hebu ipoint hiyo barabara ya vumbi tuone basi 🤣🤣🤣🤣 kumbe umeona hadi barabara za vumbi na hautuambii.?
🤣🤣🤣🤣 sijaona na watu wote hawajaona, tuonyeshe sasa.Unajifanya huoni.
5k EVs yet hamna any EV dealership, electric buses and more charging systems than Kenya. Your EV's ziko wapi?
inabidi umuonyeshe na mavyuo!Arusha ni proper city. AICC ArushaView attachment 3334037View attachment 3334043View attachment 3334044View attachment 3334049View attachment 3334052View attachment 3334058View attachment 3334061mkuu nairobae kuna pingamizi lolote huko.?
Hizi mbuzi mtazipigia guitar hadi lini?🤣🤣🤣🤣., ziliganda akili zamaaani!, yaani akili zimeduaa🤣🤣🤣.,A very small percentage of Kenyans live in slums and yes, we have at some point demonstrated against unfair land ownership. Hapo kwenu hata wengi wenu hamna habari mmeibiwa. Mnaamini nchi yenu nyeupe kama pamba hamna corruption. Hata hamjiulizi mbona mna resources mara nne ya Kenya na bado kiuchumi mpo nyuma ya Kenya yet Wakenya wanalalamika kuhusu corruption wakati nyie mmeaminishwa politicians wenu weupe kama pamba. 90% ya mabango hapo kwenu ni kusifia wanasiasa. Mpo mpo tu. Badala ya kupiga yowe msafishe nchi yenu mnahangaika na Wakenya wanavyojaribu kusafisha nchi yao. Dar 70% ni slum ila mnaaminishwa hamna slum. Wachache wenu wenye Wana courage ya kukashifu ufisadi wanapotea with no trace. Nchi maskini imeaminishwa ni nchi ya milk and honey.🚮🚮🚮
Leo nina ka package flani nimekaokota huko insta nitakapost hapa. Hapo namchokonoa tu. 🤣🤣inabidi umuonyeshe na mavyuo!
Arusha ni proper city. AICC ArushaView attachment 3334037View attachment 3334043View attachment 3334044View attachment 3334049View attachment 3334052View attachment 3334058 View attachment 3334061mkuu nairobae kuna pingamizi lolote huko.?
🤣🤣🤣🤣 tulia kidogo.A few government facilities ndio unashinda umetuonyesha. Next ni zile hoteli kidogo za watalii. Wewe tulishakuzoea.
Mgeni pia aliona hivyo in 2025!!., many dirt roads, njia mingi ni za vumbi ukilinganisha na Nairobi, wako hovyo, hawapendi ukweli hivi vijibwa koko🤣🤣🤣, Wacha waumbuliwe.., 🤣🤣🤣., jamaa aliona BRT, SGR, bridges, ila akiangalia Dar kwa ujumla bado wako nyuma ya Kenya miaka 30!., baba Levo kasema Dar Iko nyuma ya Nairobi miaka 25 hapo kitambo kidogo🤣🤣🤣🤣🤣.,I remember there's a time we shared dusty roads in Masaki, their most affluent estate. Yani mtaa bora kuliko zote Tanzania kuna maeneo hayajaona lami 😂😂
City ni moja Tanzania with one CBD pekee, Dar is slum., mengine wachana nazo., niza mchongo(how they put it🤣🤣🤣).,A few government facilities ndio unashinda umetuonyesha. Next ni zile hoteli kidogo za watalii. Wewe tulishakuzoea.
Look at this response 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Listed company vipi ukizingumzia kampuni ambazo ni private kwa Tanzania zimezidi kampuni zenu za kikenya
Sababu kuu ilikuwa hiii
BoT raises non-competitive bid threshold to boost participation
Tuesday, May 13, 2025
New Content Item (
1)![]()
BoT raises non-competitive bid threshold to boost participation
The non-competitive bidding window allows investors, particularly smaller or less experi-enced participants, to submit bids without competing on pricewww.thecitizen.co.tz
Ndo maana tunakuambia elimu yako ndogo . Naivas is not listed lakini Ina shareholders Ina maana Haina market cap.Eeeeeiiii elimu ya Sisiemu. 🤣 🤣 🤣 Nishakuambia market cap is for listed companies lakini lazima uonyeshe upumbavu na ujeuri wako. Sasa kama haipatikani kwa mdomo tupatie market cap za hizo companies zenu ambazo ni private and not listed. 🤣🤣🤣
Hebu post zile neighborhoods za mombasa. Naona mchana ulinikimbia. 🤣🤣🤣🤣City ni moja Tanzania with one CBD pekee, Dar is slum., mengine wachana nazo., niza mchongo(how they put it🤣🤣🤣).,
Village market yenyewe inaonekana kama render eti?.., Kenya ni 🔥🔥🔥🔥, kama render mwanangu🤣🤣🤣 real place, this picture is from a clip it was frozen.., noma!Render
Shule huna huwez elewa eti unlisted company hazina market capitalization🤣🤣🤣🤣Look at this response 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna jiji Tanzania iko na many or vast standard neighborhoods on average kama Mombasa, Dar yenyewe neighborhood ni 80% uswazi.., so kazi yako iliisha miaka ya nyuma., chezea google earth ujionee mwenyewe., propaganda, uongo na porojo hazina nafasi 2025!!.., kazi kwako, nilisha nawa mikono.,Hebu post zile neighborhoods za mombasa. Naona mchana ulinikimbia. 🤣🤣🤣🤣