Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha ya Kenya niliyoquote kwani ipo mjini? It was in rural Kenya and I responded by posting the same type of house in rural tanzania Sasa unatafuta pa kuorokea.

About umeme, this picture summarizes everything. Tunajua ni wapi ndio Kuna nyumba hazina umemekatinya Nairobi na DarView attachment 3333462

Mambo na maji usitaje wakati sewer system yenyewe hamjui ni nini. Water system and sewer system go hand in hand View attachment 3333466

night.png

Tanzania iko sparsely populated na zaidi ya 40% ina mbuga au ni reserved areas.

Angalia ramani ya US utaona kuanzia miji kama Bismarck, ND mpaka Austin TX kwenda west hakuna mwanga wa kutosha ukiacha miji mikubwa kama Denver CO, Phoenix, AZ na Las Vegas NE. Hii ni kwa sababu hayo maeneo ni sparsely populated, kutokana na kuwa na jiografia ya ukame.
 
A very small percentage of Kenyans live in slums and yes, we have at some point demonstrated against unfair land ownership. Hapo kwenu hata wengi wenu hamna habari mmeibiwa. Mnaamini nchi yenu nyeupe kama pamba hamna corruption. Hata hamjiulizi mbona mna resources mara nne ya Kenya na bado kiuchumi mpo nyuma ya Kenya yet Wakenya wanalalamika kuhusu corruption wakati nyie mmeaminishwa politicians wenu weupe kama pamba. 90% ya mabango hapo kwenu ni kusifia wanasiasa. Mpo mpo tu. Badala ya kupiga yowe msafishe nchi yenu mnahangaika na Wakenya wanavyojaribu kusafisha nchi yao.
Hakuna anayekataa corruption iliyopo Tanzania na hayo mabango ya kusifia wanasiasa, wengi wetu hapa tunayapinga wazi wazi. The only one anayesifia huo ujinga hapa ni ChoiceVariable

Sababu ya sisi kuwa na rasilimali ni kwasababu tumezilinda na majuzi hapa baada ya wachache kuanza kuzigawa hovyo, tukaweka sheria ya permanent sovereignty of natural resources ili kima yeyote atakayejaribu kuuza nchi "afinywe" kisheria.

Kenya haina uchumi mkubwa kuliko sisi, uchumi siyo data ambazo zinaweza kupikwa bali ni uwezo wa nchi kujibeba (kujilisha, kulipa mishahara, kusomesha watoto, kuendesha miradi ya maendeleo n.k)
Dar 70% ni slum ila mnaaminishwa hamna slum. Wachache wenu wenye Wana courage ya kukashifu ufisadi wanapotea with no trace. Nchi maskini imeaminishwa ni nchi ya milk and honey.🚮🚮🚮
Dar haina slums, ni fantasy tuu mliyonayo wakenya.
 
Nyinyi hata mumeshindwa na Uganda, hufai kuongea.

top 10 largest listed companies in East Africa 🇰🇪 🇺🇬 🇹🇿 | Berre. M.
Listed company vipi ukizingumzia kampuni ambazo ni private kwa Tanzania zimezidi kampuni zenu za kikenya

Sababu kuu ilikuwa hiii
BoT raises non-competitive bid threshold to boost participation
Tuesday, May 13, 2025
New Content Item (
1)
 
Hakuna anayekataa corruption iliyopo Tanzania na hayo mabango ya kusifia wanasiasa wengi wetu hapa tunayapinga wazi wazi. The only one anayesifia huo ujinga hapa ni ChoiceVariable

Shida ni pale mnapofocus sana kwa corruption ya Kenya kuliko hata ya kwenu kisa sisi tunaikashifu openly na nyinyi mnafichaficha.
Sababu ya kuwa sisi kuwa na rasilimali ni kwasababu tumeilinda na majuzi tuu hapa baada ya wachache kuanza kuigawa hovyo tukaweka sheria ya permanent sovereignty of natural resorces ili kima yeyote atakayejaribu kuuza nchi akabwe kisheria.

Kwa hivo mna arable land nyingi kutushinda kisa mnalinda rasilmali zenu?
Mna coastline ndefu kutushinda kisa mnalinda rasilmali zenu?
Mna water sources nyingi kutushinda kisa mnalinda rasilmali zenu?
Mna natural gas yenye sisi hatuna kisa mnalinda rasilmali zenu?

According to your flawed logic, DRC, which has more resources than the whole of east Africa combined, is extremely good at taking care of their resources.
Don't just argue to win an argument bro. Be factual.
Kenya haina uchumi mkubwa kuliko sisi, uchumi siyo data ambazo zinaweza kupikwa bali ni uwezo wa nchi kujibeba.
Kwa hivo Tanzania inajibeba kivipi venye Kenya haiwezi jibeba? Nchi yenu yenyewe imekuwa kwa global radar juu ya kupika data yet the way you throw the word around one may think you have the most accurate data on the planet.
Dar haina slums ni fantacy tuu mliyonayo wakenya.


Dar Ina slums, nimeziona kwa macho yangu.
 
Listed company vipi ukizingumzia kampuni ambazo ni private kwa Tanzania zimezidi kampuni zenu za kikenya

Sababu kuu ilikuwa hiii
BoT raises non-competitive bid threshold to boost participation
Tuesday, May 13, 2025
New Content Item (
1)
Hata hao Ug kampuni moja ndio ime dominate sana.
MTN ana market share ya 54%


View: https://x.com/tanzaniainsight/status/1721215289050689850?s=46
 
Listed company vipi ukizingumzia kampuni ambazo ni private kwa Tanzania zimezidi kampuni zenu za kikenya

Sababu kuu ilikuwa hiii
BoT raises non-competitive bid threshold to boost participation
Tuesday, May 13, 2025
New Content Item (
1)
It's hard kujua market cap ya private company because the shares are not listed, we can only use revenue na we already confirmed Naivas pekee has more revenue than any company in bongoslum.
 
Back
Top Bottom