Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inside the largest shopping center in East Africa.
IMG_7391.jpeg
IMG_7386.jpeg
IMG_7388.jpeg
IMG_7389.jpeg
IMG_7387.jpeg
IMG_7390.jpeg
 
It's hard kujua market cap ya private company because the shares are not listed, we can only use revenue na we already confirmed Naivas pekee has more revenue than any company in bongoslum.
Umekiri kwamba ni ngumu kujua details za private companies , na ili tupate revenue za kampuni husika lazima upate financial reports ambazo zimetumika kufanya hesabu za kulipia Kodi .
Na tunaijua Naivas Iko shareholding
Na kampuni mbili kwahiyo analiImika kuweka wazi taarifa zake za fedha kwa ajili ya mgawanyo wa faida .
Sasa unaweza leta financial report wa private kampani yoyote ya Tanzania kwa mwaka 2021,2022,2023,2024 na 2025
Naivas Supermarkets' shareholding structure involves a private equity consortium and a Mauritian conglomerate, IBL Group. In 2022, a consortium of private equity firms, including IFC, Amethis, MCB Equity Fund, and DEG, sold their 31.5% stake in Naivas International (Mauritius) to IBL Group, which includes French development finance institution Proparco and DEG, a subsidiary of German KfW Group.
 
Shida ni pale mnapofocus sana kwa corruption ya Kenya kuliko hata ya kwenu kisa sisi tunaikashifu openly na nyinyi mnafichaficha.
Hakuna anayejali sana corruption yenu ni kwamba tuu, tunawashanga manavyosema mna democracy huku mkiwaacha wachache wamiliki rasilimali yote ya nchi.
Kwa hivo mna arable land nyingi kutushinda kisa mnalinda rasilmali zenu?
Land yetu inatumika vizuri ndiyo maana hatuna njaa
Mna coastline ndefu kutushinda kisa mnalinda rasilmali zenu?
Mna water sources nyingi kutushinda kisa mnalinda rasilmali zenu?
Mna natural gas yenye sisi hatuna kisa mnalinda rasilmali zenu?
Don't just argue to win an argument bro. Be factual.
Kihistoria, tulizuia kutumia rasilimali kama madini, kwasababu ya hatukuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe. Nyerere akasema madini hayaozi, tukipata uwezo wa kujinufaisha (wataalamu na fedha n.k) tutaanza kuyatumia.

Akaja Mkapa, akaamini sana wawekezaji wa nje akagawa madini hovyo, miaka karibu ishirini hatukufaidika. Kikwete naye akagawa gesi. Magufuli alipokuja akawabana hao wawekezaji na kuweka sheria za nchi kujilinda.

Hii habari ya kuwa hamna rasilimali sijui mmeitoa wapi? Kenya inawezekana mna mafuta mengi sana Turkana na kwenye mpaka wa South Sudan ila kwasababu mmejazana hapo central, hamfikirii kufanya uchunguzi huko north.
Kwa hivo Tanzania inajibeba kivipi venye Kenya haiwezi jibeba? Nchi yenu yenyewe imekuwa kwa global radar juu ya kupika data yet the way you throw the word around one may think you have the most accurate data on the planet.

Dar Ina slums, nimeziona kwa macho yangu.
Tunasomesha watoto bure mpaka form 4, tunalipa mishahara, miradi mikubwa (SGR over 1000Km) inaendelea, BRT sasa tuko phase 4, Dodoma inajengwa.

Hebu niambie nini kinaendelea Kenya sasa hivi?
 
Leo nimepata vi contents vyangu kadhaa about Arusha. Kila nikitaka kupost nahisi uvivu 😄 acha nivipost bhana.
 
Hakuna anayejali sana corruption yenu ni kwamba tuu, tunawashanga manavyosema mna democracy huku mkiwaacha wachache wamiliki rasilimali yote ya nchi.
Tumeanzisha mifumo mingi sana inayominya mianya ya rushwa. Actually naweza sema Tanzania kwa sasa hakuna utakachoweza fanya kwa ofisi ya serikali bila kupita kwa mfumo.
Kuna siku jamaa yangu mmoja alikuwa anakwenda zake china kununua mzigo wa duka bila kuwa na kibali cha mwajiri ( alikuwa Yuko likizo) Ile amefika airport kuscan tu passport akaombwa barua ya mwajiri Hana safari ikaishia hapohapo
Land yetu inatumika vizuri ndiyo maana hatuna njaa

Kihistoria, tulizuia kutumia rasilimali kwasababu ya hatukuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe. Nyerere akasema madini hayaozi, tukipata uwezo wa kujinufaisha (wataalamu na fedha n.k) tutaanza kuyatumia.

Akaja Mkapa, akaamini sana wawekezaji wa nje akagawa madini hovyo, miaka karibu ishirini hatukufaidika. Kikwete naye akagawa gesi. Magufuli alipokuja akawabana hao wawekezaji na kuweka sheria za nchi kujilinda.

Hii habari ya kuwa hamna rasilimali sijui mmeitoa wapi? Kenya inawezekana mna mafuta mengi sana Turkana na kwenye mpaka wa South Sudan ila kwasababu mmejazana hapo central, hamfikirii kufanya uchunguzi huko north.

Tunasomesha watoto bure mpaka form 4, tunalipa mishahara, miradi mikubwa (SGR over 1000Km) inaendelea, BRT sasa tuko phase 4, Dodoma inajengwa.
Kuna ujenzi wa mabwawa ya umwagiliaji , mikopo ya vikundi kwa halmashauri na kadhalika
Hebu niambie nini kinaendelea Kenya sasa hivi?
Wana miradi ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu.
 
Hii ni kwa hesabu ya kupitisha one barrel kwa $12, aisee kweli ishi na watu vizuri, huwezi juwa kesho itakuwaje.
Ndo maana nawambiaga inatakiwa tumvute mseveni Tena dar kwenye ishu ya sgr, yaani akikubali south Sudan nayo yetu
 
Market cap unaipata kwenye financial statement sio kwenye mdomo
Eeeeeiiii elimu ya Sisiemu. 🤣 🤣 🤣 Nishakuambia market cap is for listed companies lakini lazima uonyeshe upumbavu na ujeuri wako. Sasa kama haipatikani kwa mdomo tupatie market cap za hizo companies zenu ambazo ni private and not listed. 🤣🤣🤣
 
Ndo maana nawambiaga inatakiwa tumvute mseveni Tena dar kwenye ishu ya sgr, yaani akikubali south Sudan nayo yetu
Mi naamini kile kipande cha kufika Bukoba kipo ila hakisemwi kuzubaisha jamaa zetu hawa. Tukifika Mwanza utashangaa kuna tenda inatangazwa. Kumbuka Pande ile kuna soko la Uganda, S.Sudan na Chad
 
Back
Top Bottom