Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe kijana wa Tandale utaimb huu wimbo wa render hadi lini? Don't you get tired? Projects zote that you shouted render zimejengwa na mengi yanatumika. Too desperate!
kama inauma sana niambie naweza chomoa tu hata hvo nisharidhika 😂
 
Wanahana? I thought watu wa Dar wanamiliki ardhi wanazaiishi ndani? Tena wanahama zinageuka viwanda? What a bunch of desperados we have here!
Mbona unaropoka kijana!?
Hilo eneo limewekwa katika mkakati wa viwanda watu wanalipwa kwenda kutafuta suitable places kimakazi hapo kuna shida gani!?
 
So in Dar es salaam a residential area can become an industrial zone overnight? Yani all of a sudden watu na viwanda pua na mdomo?

Anyway, it's evident in all our residential areas. Planning was thrown out of the window
We kichaa Keko upande wa kuelekea Kariakoo lilikua concentrated na viwanda ndio wameona maeneo karibu yote yawe ya viwanda Moja kwa Moja.
 
Umeona utofauti wa hiyo picha umeme kwanza .
Umeme umespread karibia Kila eneo la Tanzania maeneo ambayo haya umeme ni kama central Tanzania ambapo Kuna mbuga ya mikuni ambayo inaenda kukutana na mbuga ya selous the same kuanzia moro, Dom, to kigoma
Kenya umeme umeconcetrate maeneo ya southern tuu , kwa hiyo kusema accessibility ya umeme kwenu ni Bora wakati umeelekezwa eneo moja kuhusu maji bado hayajaweza tosha na majority wanategemea maji ya kusambaziwa sababu bado uhitaji ni mkubwa sana kulingana na population
Ishu ya vyoo walau Tanzania karibia Kila nyumba Ina choo hata kama ni shimo ila Kenya bado Kuna flying toilets .🤣🤣🤣🤣
Umeona utofauti wa hiyo picha umeme kwanza .

Umeme umespread karibia Kila eneo la Tanzania maeneo ambayo haya umeme ni kama central Tanzania ambapo Kuna mbuga ya mikuni ambayo inaenda kukutana na mbuga ya selous the same kuanzia moro, Dom, to kigoma
Umeme karibia Kila eneo? Well, what's your country's electricity access we compare notes ndio tujue who is doing better?
Kenya umeme umeconcetrate maeneo ya southern tuu , kwa hiyo kusema accessibility ya umeme kwenu ni Bora wakati umeelekezwa eneo moja
That's where the majority of Kenyans live so what do you expect? Northern Kenya is sparsely populated. Got it?


kuhusu maji bado hayajaweza tosha na majority wanategemea maji ya kusambaziwa sababu bado uhitaji ni mkubwa sana kulingana na population
Hamjatosheleza mahitajiya maji wakati just a few pages back one of you bragged how every household in Dar has tapped water inside!! Sasa tumwamini nani?
Ishu ya vyoo walau Tanzania karibia Kila nyumba Ina choo hata kama ni shimo ila Kenya bado Kuna flying toilets .🤣🤣🤣🤣
Show me those flying toilets in Kenya. Mmekwama na a secluded story ilifanyika Kibera sijui ni enzi za Moi and are now making it the gospel truth. If I asked you to show me those flying toilets in 2025 with proof will you be able to? Nyinyi mtasumbuka to play catch-up na bado!

Umeona utofauti wa hiyo picha umeme kwanza .
This is somewhere in rural Kenya. If I use this image and say that the whole of Kenya Kuna stima will I not sound stupid?
images - 2025-05-14T132005.563.jpeg
 
We kichaa Keko upande wa kuelekea Kariakoo lilikua concentrated na viwanda ndio wameona maeneo karibu yote yawe ya viwanda Moja kwa Moja.
And how did the authorities allow people to live in an industrial zone?
 
Clips na picha ndio msingi wa hii battle..

Mtu mpumbavu kama wewe unakuja kujiona mjanja kwa kuleta empty talks. 🤣🤣🤣 hizo sisi hatuchukui. Kuandika kwenyewe hujui, hakuna chochote unachojua fluently neither English nor Swahili.. but you are here claiming of being smart..🤮🤮. 🚮.
Uzi uli change gear watu wakaanza kujadili serious stuff, wewe hutoshi, wachache wenu pekee ndio wako na uwezo, nyie mlio wengi chezea clips na picha mtakua salama., sio dhambi, jikubali mlivyo na mjivunie, hamtapigwa wala kushikwa humu, hehehe ..,
1747219900029.png
 
When the same imperialists give positive data/information about your country you shout at the top of your voices in excitement and sing songs of praise to them! What a bunch of hypocrites!!!
Asante kwa kukubali kuwa hiyo ni map of imperialists na imetoa negative data about Tanzania
 
Mbona unaropoka kijana!?
Hilo eneo limewekwa katika mkakati wa viwanda watu wanalipwa kwenda kutafuta suitable places kimakazi hapo kuna shida gani!?
Get my point, how did people buy an industrial land to put up houses? If you can't answer this question kaa pembeni
 
Asante kwa kukubali kuwa hiyo ni map of imperialists na imetoa negative data about Tanzania
Ok... bongolala I know you are just being desperate. Wait till the same imperialists waje na data za kuwafurahisha uje unengue kiuno kwa furaha
 
Picha ya Kenya niliyoquote kwani ipo mjini? It was in rural Kenya and I responded by posting the same type of house in rural tanzania Sasa unatafuta pa kuorokea.

About umeme, this picture summarizes everything. Tunajua ni wapi ndio Kuna nyumba hazina umemekatinya Nairobi na DarView attachment 3333462

Mambo na maji usitaje wakati sewer system yenyewe hamjui ni nini. Water system and sewer system go hand in hand View attachment 3333466
Yaani Mombasa iko na umeme zaidi ya Dar hehehe.., I keep on saying Mombasa ndio size ya Dar hapa Kenya wananuna wanaanza kutafuta slums wajiliwaze eti.,
1747220127764.png
 
Back
Top Bottom