Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani Mombasa iko na umeme zaidi ya Dar hehehe.., I keep on saying Mombasa ndio size ya Dar hapa Kenya wananuna wanaanza kutafuta slums wajiliwaze eti.,
View attachment 3333526
Hii Dar haina ubavu wa kushindana na Nairobi kwa lolote. Washaanza kusema hiyo ni picha imetengenezwa na imperialists to paint their country in bad light😂😂😂
Mitanganyika hayakosangi excuses
 
Ila hatuishi kwenye nyumba za mabati
Kunyaland ndo wana masikini wengi ukanda huu kulingana na KNBS sasa wapinge data za serikali yao 😂😂😂
IMG_3723.jpeg
 
Uzi uli change gear watu wakaanza kujadili serious stuff, wewe hutoshi, wachache wenu pekee ndio wako na uwezo, nyie mlio wengi chezea clips na picha mtakua salama., sio dhambi, jikubali mlivyo na mjivunie, hamtapigwa wala kushikwa humu, hehehe ..,
View attachment 3333525
My fool brother huu uzi upo kwaajili ya kujadili kuhusu maendeleo za miji za kenya vs Tz, especialy Nairobi vs Dar, kama tittle inavyojieleza hapo juu. and of course maendeleo ni vitu vinavyoonekana kwa macho, ikiwa ni barabara, reli, umeme, nyumba, huduma za maji, huduma za afya, michezo, burudani n.k. Hivi vitu vyote huwezi kuvielezea humu kwa maneno matupu.. wonderful enough wewe unajiona ni mwenye akili kwa kuleta maneno matupu humu. 🤣🤣🤣🤣 kweli wewe ni kilaza.. tena unathubutu kujiona smart kwa kutuelezea vitu vyenye kuvithibitisha huwezi.. kweli wewe ni mbuda.

Nikisamaga wewe ni mpumbavu.. I mean it.. wewe ni Mpumbavu.
 
And how did the authorities allow people to live in an industrial zone?
Who told you those are industrial areas!?
They weren't industrial areas,but industrial areas were nearer those areas.
Government decided to turn those neighborhoods into industrial areas.
 
Get my point, how did people buy an industrial land to put up houses? If you can't answer this question kaa pembeni
Kiazi wewe hayo maeneo hayakuwa maeneo ya viwanda bali yalikuwa maeneo ya jirani na viwanda serikali ikaonelea kote kuwe eneo la kiwanda na wawekezaji tofauti tofauti wakaanza kununua wa ndani na nje.
 
Kama kweli mngekuwa na democracy mngeandamana kushurutisha familia za Moi na kenyatta warudishe ardhi walizowaibia, badala ya kurundikana kwenye slums kama matenga ya nyanya mkipiga domo eti mna democrasia.
A very small percentage of Kenyans live in slums and yes, we have at some point demonstrated against unfair land ownership. Hapo kwenu hata wengi wenu hamna habari mmeibiwa. Mnaamini nchi yenu nyeupe kama pamba hamna corruption. Hata hamjiulizi mbona mna resources mara nne ya Kenya na bado kiuchumi mpo nyuma ya Kenya yet Wakenya wanalalamika kuhusu corruption wakati nyie mmeaminishwa politicians wenu weupe kama pamba. 90% ya mabango hapo kwenu ni kusifia wanasiasa. Mpo mpo tu. Badala ya kupiga yowe msafishe nchi yenu mnahangaika na Wakenya wanavyojaribu kusafisha nchi yao. Dar 70% ni slum ila mnaaminishwa hamna slum. Wachache wenu wenye Wana courage ya kukashifu ufisadi wanapotea with no trace. Nchi maskini imeaminishwa ni nchi ya milk and honey.🚮🚮🚮
 
So that's one of the affluent estates in Dar? 🤣🤣🤣
Eti. Utawapata wanashare lane yenye pothole Kilimani ambayo after a few months ya Wakenya kupiga kelele itarekebishwa wakati Kuna Barabara kwa affluent estates zao hazijawaai ona lami. Sewage Kila mahali.
 
Back
Top Bottom