Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In Mombasa mitaa ya raiya wa kawaida, average standards, ni zaidi in vastness(upana na urefu) ya standard neighborhoods ndani ya jiji yoyote Tanzania,..,.,
🤣🤣🤣 sio kwa dodoma my fool brother. 👇🏾 Ilazo extention is really huge. Hebu toa kwanza tongo tongo. 👇🏾kabla sijakuletea hiyo ilazo or anywhere kaa sawa kiakili kwanza
IMG_7329.jpeg
 
Yani bado ubapost hizi.? 🤣🤣🤣🤣 hizi ni takataka kaka mbele ya Dom..
Hamna jibu hadi wa leo, mitaa ya raiya wa kawaida sana, Tanzania upana huo utakua ndani ya uswazi.., Dodoma una post where fukara kama wewe huwezi kuishi🤣🤣🤣🤣., Bamburi pekee ni kubwa kushinda Dodoma yoote.., na iko njee kabisaa ya CBD., kiembeni nayo ni mbali sana., hizo mbili zimetosha kufunika Dodoma, eti mnaitaja kama city🤣🤣🤣, mtaa wa Bamburi ni kubwa ata zaidi ya Dodoma CBD, ama unabisha?🤣🤣🤣.., weka humu Dodoma CBD aerial views tulinganishe🤣🤣🤣🤣.,

View: https://youtu.be/HGgvGrswc2c?si=rDn08XP0aZR7rzJy
 
Hamna jibu hadi wa leo, mitaa ya raiya wa kawaida sana, Tanzania upana huo utakua ndani ya uswazi.., Dodoma una post where fukara kama wewe huwezi kuishi🤣🤣🤣🤣., Bamburi pekee ni kubwa kushinda Dodoma yoote.., na iko njee kabisaa ya CBD., kiembeni nayo ni mbali sana., hizo mbili zimetosha kufunika Dodoma, eti mnaitaja kama city🤣🤣🤣, mtaa wa Bamburi ni kubwa ata zaidi ya Dodoma CBD, ama unabisha?🤣🤣🤣.., weka humu Dodoma CBD aerial views tulinganishe🤣🤣🤣🤣.,

View: https://youtu.be/HGgvGrswc2c?si=rDn08XP0aZR7rzJy

Unaelezea vitu vinavyoonekana 🤣🤣🤣 heb ona mitaa zinavyotakiwa kuwa.. sio unaleta mabanda ya njiwa. 👇🏾hii ni Arusha kabla sijaanza kukumiza na hiyo dodoma.
IMG_7344.jpeg
 
Mgumu kuelewa haya equity huwez ipata kwenye financial statements ?
Equity na debts zinapatika a kwenye financial statements ambazo kwa muda wako unaweza calculate ukapata market value ya kampuni husika.
Pili umesema kuwa tunaweza kadilia kampuni kwa mauzo , hayo mauzo unayatoa wapi kama sio kwenye income statement za kampuni husika ,sasa unawezaje sema kuwa naivas Ina mauzo wakati huna statement yoyote ya kampuni yoyote Tanzania . Na the only reliable financial information ni financial statement 🤣
Ujuaji ndio unakuanga nayo nyingi. 🤣 🤣 🤣 We all know private companies are not required by law to make their financial statements public. Enyewe critical thinking ni shida huko bongoslum.
 
Vipi kuna pingamizi huko.? 👇🏾This is the side of Arusha that you never seen it anywhere.. Olacity Arusha 👇🏾View attachment 3334104View attachment 3334112View attachment 3334118View attachment 3334119View attachment 3334120View attachment 3334122.. hii sio njiro wala sio ngaramtoni ya chini. 🤣🤣🤣 Arusha is indeed beautful. Hii isikupite bwana Don YF. Hebu leta zile neighborhoods za mombasa. 🤣🤣
Kweli uko desperate sana kulazimisha fikra zako uchwara., nikisema wewe ni ndwazi unanichukia, ona sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., lala tu boss.,🤣🤣🤣🤣🤣🤣., google earth iko, tusipotezeane mda., mtafika na nyinyi siku moja., Tanzania ni Dar tu🤣🤣🤣🤣, na yenyewe bado sana🤣🤣🤣🤣
 
Ujuaji ndio unakuanga nayo nyingi. 🤣 🤣 🤣 We all know private companies are not required by law to make their financial statements public. Enyewe critical thinking ni shida huko bongoslum.
Then how is possible naivas has more revenue au it's market value more than Azam wakati unajua hakuna financial statement yoyote ya Azam iliyopo available
 
Vipi kuna pingamizi huko.? 👇🏾This is the side of Arusha that you never seen it anywhere.. Olacity Arusha 👇🏾View attachment 3334104View attachment 3334112View attachment 3334118View attachment 3334119View attachment 3334120View attachment 3334122.. hii sio njiro wala sio ngaramtoni ya chini. 🤣🤣🤣 Arusha is indeed beautful. Hii isikupite bwana Don YF. Hebu leta zile neighborhoods za mombasa. 🤣🤣
Unpaved roads ndio hua motto ya bongolalas. 🤣 🤣 🤣
 
Kweli uko desperate sana kulazimisha fikra zako uchwara., nikisema wewe ni ndwazi unanichukia, ona sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., lala tu boss.,🤣🤣🤣🤣🤣🤣., google earth iko, tusipotezeane mda., mtafika na nyinyi siku moja., Tanzania ni Dar tu🤣🤣🤣🤣, na yenyewe bado sana🤣🤣🤣🤣
Watu wanaona unaleta upumbavu.? Haya kutana na ilazo extention. 👇🏾.
View: https://youtu.be/dK4KV8Dr6Jg?si=P9XfBeS0unxonCA5. Unaleta mabanda ya njiwa .? 🤣🤣🤣 ipi kubwa sasa kati ya bumburi na Ilazo.? Let alone hizo hiyo CBD unataja..
 
Sasa una post hii pori ndio iweje? Look at the spaces 🤣🤣🤣🤣🤣., kumbaff zako🤣🤣🤣🤣🤣.,
It is a very classic, green and beautful no where in mombosa can come close. 🤣🤣🤣nenda kalete yale mabanda yako ya njiwa.
 
Unpaved roads ndio hua motto ya bongolalas. 🤣 🤣 🤣
Na hiyo ni high class estate in Dodoma eti🤣🤣🤣🤣., na mpea lower class kama Bamburi na kiembeni , sijagusa high end kama Nyali, Kizingo na Tudor., hawa ni mafukara proMax., am sure Uganda is better, an estate in Entebe is far neat and better with tarmac than hii ya Dodoma,. I watched a clip.,
 
Then how is possible naivas has more revenue more than Azam wakati unajua hakuna financial statement yoyote ya Azam iliyopo available
Because Naivas makes their financial statements available to the public, Bakresa Group have stated kwa website yao 800 million dollars, so we go by that.
 
Watu wanaona unaleta upumbavu.? Haya kutana na ilazo extention. 👇🏾.
View: https://youtu.be/dK4KV8Dr6Jg?si=P9XfBeS0unxonCA5. Unaleta mabanda ya njiwa .? 🤣🤣🤣 ipi kubwa sasa kati ya bumburi na Ilazo.? Let alone hizo hiyo CBD unataja..

Sasa hii vumbi estate, nyumba zinahesabika ifananishe na mini town Bamburi?, alafu sio za watu wa kawaida, yaani hamjawai kuona an organized estate haka kadogo kanakupa kiwewe unadhani unaweza itaja Dodoma kwa Mombasa yenye tayari imeizidi Dar kwa neighborhoods za raiya wa kawaida, kilaza ni kilaza kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., lala kitukuu🤣🤣🤣🤣, naomba nihifadji hii YouTube clip tafadhali🤣🤣🤣🤣
 
Because Naivas makes their financial statements available to the public, Bakresa Group have stated kwa website yao 800 million dollars, so we go by that.
Because they have shareholders lazima waandae financial statement ili investors waweze kusoma taarifa. Hiyo lazima waandae
Sasa ndo maana nikuambia huelewi chochote financial information haipatikan kwa website 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Azam hiyo taarifa since 2015 ipo na hajawahi badilisha 🤣🤣🤣🤣 ungekuwa na taarifa Azam sawa hapo unachoongea ni porojo .
Unakikataa ulichokuwa unatetea
 
Na hiyo ni high class estate in Dodoma eti🤣🤣🤣🤣., na mpea lower class kama Bamburi na kiembeni , sijagusa high end kama Nyali, Kizingo na Tudor., hawa ni mafukara proMax., am sure Uganda is better, an estate in Entebe is far neat and better with tarmac than hii ya Dodoma,. I watched a clip.,
Hiyo si hata high class. Nikileta high class utawezana.? 🤣🤣🤣hii hapa neighborhood nyingine ni ya watu wa kawaida tu. Iyumbu. 👇🏾
View: https://youtu.be/Ys8gKKWny8E?si=HkITPd3dlLR8NWMH.
View: https://youtu.be/B7q2Eeqw5zw?si=QTHaXoaLx14E5QAZ. Hebu leta yale mabanda yako. 🤣🤣🤣. Ooh oky ni haya kumbe. 👇🏾
View: https://youtu.be/HGgvGrswc2c?si=it4sfYkH7n1M1_gZ.
 
Sasa hii vumbi estate, nyumba zinahesabika ifananishe na mini town Bamburi?, alafu sio za watu wa kawaida, yaani hamjawai kuona an organized estate haka kadogo kanakupa kiwewe unadhani unaweza itaja Dodoma kwa Mombasa yenye tayari imeizidi Dar kwa neighborhoods za raiya wa kawaida, kilaza ni kilaza kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., lala kitukuu🤣🤣🤣🤣, naomba nihifadji hii YouTube clip tafadhali🤣🤣🤣🤣
Kumbe kuna lami humu.? 🤣🤣🤣👇🏾
View: https://youtu.be/HGgvGrswc2c?si=it4sfYkH7n1M1_gZ. Mabanda ya mbwa yamezungukwa na tafrani. No lami.
 
Imagine 🤣🤣🤣🤣 we are surposed to bealieve this abandas are better than Ilazo neighborhoods. 👇🏾
View: https://youtu.be/HGgvGrswc2c?si=AjU9otnDYYpBm2LG. Wonders shall never end.

Better or vast?., tunazungumzia normal standard neighborhood, mitaa za raiya wa kawaida sana, sio uswazi ama high end., mko hovyoooo!!., Bamburi ni mini city.., iko na supermarkets, clubs, and various shopping centers , sio hiyo Kijiji unajaribu kujimwambafy nayo, nyumba design za kizamani!!!.., 🤣🤣🤣🤣., maskini dogo unatia huruma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, ukubwa wa Bamburi ni zaidi ya Dodoma CBD!., unabisha???., 🤣🤣🤣🤣.,
 
Back
Top Bottom