Wewe ni kichaa!
Nyie mnakunywa chai kavu bila vitafunio, tena chai bila hata sukari. Ukiona nchi watu wake wanagombania chapati chafu kwenye ndoo ya kuogea, tena kwenye kampeni za siasa jua hiyo nchi watu wake wana njaa kupita kiasi.
Binamuzenu kwenye njaa, Nogeria, juzi juzi walitoshia kuandamana wakapewa viplastiki vyamchele wakavigombania mpaka wengine wakafa na hakukua na maandamano.
Ni nchi tatu tu Africa zinaingia kwenye top 10 ya dunia linapokuja swala la wingi wa mifugo. In Africa, Tanzania ni ya pili baada ya Ethiopia. Sasa sijui unazungumzia maziwa gani, au hayo maziwa mnawakamua hata wakina mama wapika Gongo "Chang'aa".
www.mifugouvuvi.go.tz/uploads/publications/
View attachment 3291061