chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,673
- 45,901
Ndio maana wakenya wengi ni mashoga kisa wazungu ni mashoga, watanzania hatufanyi sababu ya kufata jamii za wageni ni utamaduni wetu asili, kwenye kabila langu anaheshimika mtoto alietahiriwa kuliko bilionea govinda, yaani in short kuwa govi Tanzania ni scandalNa unaona hicho ni kitu Cha kujisifia? Huo ni ushamba. Nchi nyingi mnazotegemea msaada hazitairi. Hiyo simu unayotumia imeundwa na watu ambao hawajatahiri. Technology zote mnazitumia zimeyengenezwa na watu ambao hawajatahiri alafu mko hapa mnajipiga kifua juu ya kutairi. Eti mnabully watoto Hadi wanacommit suicide na mnaona hiyo ni sifa? Wacheni ushamba.