much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
Dunia yote ipo Tanzania. Wakenya wanahaha kwenye x.com
View: https://x.com/WorldBank/status/1883756831518191644
Sipati picha ingekuwa Nairobi ingekuaje na mji mzima unaelewa
Dunia yote ipo Tanzania. Wakenya wanahaha kwenye x.com
View: https://x.com/WorldBank/status/1883756831518191644
Sasa hivo visenti Kwa Africa nzima vitatosha Nini?
Hayo ni mambo ya chama yatakuwa yanalipiwa na chama japo bado ni ujingaNchi yetu ina ujinga mwingi sana. Sijui ni nani analipia hayo mabango na yanaingiza hela ngapi kwa nchi. Huu ndio uchawa na kuna watu humu ndio kazi yao.
Kuto kujua vitu kusikufanye ufikie conclusion mzee. Hawa hapa watanzania wanao fanya kazi kampuni kubwa duniani huyu anafanya kazi apple . 👇🏾
View: https://youtu.be/yIPWOqT04gk?si=hr2eHhJiw_YA4ICD. . Huyu anafanyakazi NASA 👇🏾
View: https://youtu.be/QyJcPnDgw-I?si=FWVPjDSxsLm3i7Nz.
Man eating another man society is manifesting itself in the US!
View: https://x.com/Rydx_017/status/1884180986566697178
View: https://x.com/Rydx_017/status/1884181060726186196
View: https://x.com/Rydx_017/status/1884181209590423995
Tatizo umejifungia kwenye slums wakenya wenzako wanakili jinsi mlivyo na roho mbaya yaana mkenya kumuuza mkenya mwenzake Kwa 75$?Sijawai kuona watu wenye roho mbaya kama watanzania
😂😂shida yenu ni mdomo mrefu kama chupa ya amarulaThis African mentality, so if the “1995 hiace” is in perfect condition and there isn’t need for an updgrade, what’s wrong with that?
mambo ya chama wapi kaka kueka mabango nchi nzima, hebu tuacheni utani, tusijitoe akili hatujafika level za kufanya hayaHayo ni mambo ya chama yatakuwa yanalipiwa na chama japo bado ni ujinga
Bongolala uko na hasira sana 😂😂😂Fukuza mbwa wote waende kwao, kama nchi zao wameziharibu kwa tamaa wakafie kibera huko maanina, kazi hayafanyi yanategemea remittance toka kwa ndugu wanaoishi illegally ndani ya nchi za watu.