Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwisho

img_6530-jpeg.8612706
 
Nashindwa kuelewa kwanini na ni kwasababu zipi huyu mpuuzi asikamatwe au kuvamiwa hako kanchi kao maskini.? For what I know kwa hako kanchi na uchumi wao hawawezi ku sustain hata vita ya mwezi mmoja hawa kama tutaamua kuwavamia huko kwao. Hizi habari za kuoneana haya zitatufikisha pabaya sana.
Wanakuambia anapewa support na mabepari, yn kajamaa kanaifanya EA vile kanataka, bila kupigwa hakataachia jimbo cz ndiyo jimbo linalompa jeuri ya kulisha mpaka jeshi linalomlinda, kukosa mali za Congo kagame na Rwanda yake wanabaki na milima tu.
 
Wanakuambia anapewa support na mabepari, yn kajamaa kanaifanya EA vile kanataka, bila kupigwa hakataachia jimbo cz ndiyo jimbo linalompa jeuri ya kulisha mpaka jeshi linalomlinda, kukosa mali za Congo kagame na Rwanda yake wanabaki na milima tu.
Tukiamua kukavamia hako hizo silaha katatoa wapi.? Hao wazungu watakakuta kamechakaaa majivu.
 
Back
Top Bottom