Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,635
- 15,734
Insha refu ni ya nini? Mshasema kule juu kwamba ni AINionacho hapo ni boksi linalo waka taa. Why waliwashe taa muda huu wakati ujenzi bado sana?
Simple truth is: hii project ni magumashi ndio maana hayo mataa yanawashwa wakati hata viti hawajamaliza kuweka, pitch bado ili kuwarubuni akili nyie wajinga 🚮
This whole thing kwa kiswahili cha mtaa tunasema: "mnauziwa mbuzi kwenye gunia".
Si muwache tu ibaki AI 🤣we all know its AI