IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 7,287
- 9,453
kuna watu hapa walikuwa wanangojea Kenyan troops “wamalizwe” watangoja Sana
View: https://youtu.be/lmkX-qdImcc?si=_ZUpyfYt0iutzn_L
View: https://youtu.be/lmkX-qdImcc?si=_ZUpyfYt0iutzn_L
Kwani uongo?From The same guys wanaosema kenya inatawaliwa na wazungu? 😂😂😂
Yaani huu muda wote unasema vitu haujui??Heb taja investment yoyote hapo kenya ysnye you bragging of having them yenye si mali ya foreigner. 😂😂😂 hadi mashamba kwenu ni mali za watu weupe.. hilo taifa vichaa.?
Nangojea list hapa, hebu wataje hao “wazungu foreigners “ ama wanasiasa wenu hawaandika kwa script wakiwaambia ivo 😂😂😂😂Kwani uongo?
Upuuzi mtupu.Nangojea list hapa, hebu wataje
Umeshindwa? 😂😂😂😂😂😂😂😂Upuuzi mtupu.
Yaani hamuweji kujifikiriria wenyewe bila kuambiwa na viongozi wenu 😂😂Upuuzi mtupu.
Taja mradi hata mmoja hapo kenya wemye si mali ya mtu mweupe mgeni .. 😂😂😂 mana nikiamua kutaja nitataja miradiym ya karibu taifa zima. 😂😂😂Yaani huu muda wote unasema vitu haujui??
Taja hao wazungu wanatawala Kenya tuone, wacha upuuzi 😂😂😂😂
Unalazimisha umiliki nyoko wewe? Sportpesa Kenya is only 48% Kenyan owned huwezi ku-claim its Kunyan! So is Equity Bank!Nyinyi ni vigeugeu, topic imeanzia kuwa Sportspesa ina uniliki wa wakenya, mkaanza kusema eti ni ya waingereza blahblahblah…wakati huo hankuona ubaya wowote,
Sasa mkigeuziwa mnaplay victim
Tofauti yenu na yetu ni kuwa wakenya wenyeji pia wana bidii kuweza kutengeneza mali kama wengine. Its more of a challenge kwa watanzania rather than ukabila, wachangamke!! Na mkiona mtu mweusi amefaulu msianze kusema eti ni mali ya mzungu, ila tukiwaambia ukweli sasa imekuwa ukabila 😂😂😂
Top ten yetu Kuna wakenya weusi. List yetu haijatawaliwa na warabu kama yenuWakina Manu Cyandaria na Shah umewasahau sio?
Hao wote ni warabu. The reason they are in Taznania currently is because mmelala, siku watanzania kamili wataamka na kuanza kufanya biashara wanafanya utaona wakikiambia wote na kurudi makwao.Ukijitia utahira me nakuacha tu.. ila ukweli ni kwamba akina baresa wote ni watanzania wazawa kuanzia babu zao. Ila uchumi wa wakenya ni mali ya mzungu na mchina.. wakenya wote ni maskini, kuanzia wewe en your fellow country men in this thread. Tena you guys ni maskini wa kutupa. Facts..
Aawapii..Top ten yetu Kuna wakenya weusi. List yetu haijatawaliwa na warabu kama yenu
Taja hao wazungu wameshikilia uchumi wa Kenya. Taja tu watano pekee.Taja mradi hata mmoja hapo kenya wemye si mali ya mtu mweupe mgeni .. 😂😂😂 mana nikiamua kutaja nitataja miradiym ya karibu taifa zima. 😂😂😂
Kakuma camp is being run by the United Nations. Kenya ni wenyeji tu. Hiyo swali peleka UN. They have their African office here in Nairobi. You can come anytime you wantWe kichaa? Unatuuliza sisi badala sisi tukuulize wewe iweje kule kakuma refugees camp kuna more than 30% ya wakenya wako registered na wanakula misaada. Usije kushangaa hata wewe ni mnufaika au hata ndugu yako mana 30% ya wakenya 65m sio mchecho.