buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
ππππ Another tena.
Kwamba Mkopo wa kutunza misitu? π³π³ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DDPc4XBNB-4/?igsh=MTNnb3hzNjJjbWMxcQ==
Safi sana endelea hii mentality.Tanzania lags behind in Everything, ingekuwa you put your money in what you say saa hii hamngekuwa kwenye Kundu la LDC.
Sio hapo tu ni pia sera ya kulinda viwanda vya ndani, for now tuna viwanda vingi vya cables ila bado unaruhusu imports ya cables kutoka chini kama si uchizi nini?ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi mzee
umeme unaozalishwa na nyerere dam alone hatuwez kuumaliza kwa sasa ndio maana tunahitaj kuuza sana umeme zambia, burundi, kenya na malawi etc
bado tunahitaji viwanda vikubwa kama vile car assembly plants like Audi, scania, benz etc, bado tunahitaji migodi yote tanzania iunganishwe na umeme, tunahitaj viwanda vya chuma, mbolea, oil refeneries etc
lazma tuweke sera nzuri za kikodi ili kushawishi wawekezaji wakubwa wamiminike nchini, sisi bado tuna sera mbovu sana za kikodi
still bado 2115 MW za julius nyerere dam alone hatuzimalizi kaka huo ndio ukweli ndio maana tunataka kuwauzia majirani umeme ili usipotee bure
kati ya rwanda na tanzania nani mwenye soko la uhakika la magari??? unataka waekezaji wakubwa ondoa urasimu na weka mazingira mazuri ya kikodi
![]()
Volkswagen escaped bureaucracy in Tanzania, went to Rwanda, says former minister
A former cabinet minister in Tanzania, Charles Kitwanga told the parliament on Wednesday November 6 that Europeβs biggest carmaker, Volkswagen, decided to invest in Rwanda after attempts to set...www.thecitizen.co.tz
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZzoyCeIG6Cs
Kwani lazima tutengee? Ebu tuonyeshe penye tulitenga pesa za affordable housing, tuonyeshe penye tulitenga pesa za kukata ati Kasarani Stdium, tuonyeshe penye tulitenga pesa za kutengeneza all the ongoing roads projects in Kenya. Tuonyeshe penye tulitenga pesa za kujenga all the small stadiums tunajenga all over Kenya.Tutolee maneno ya kanga hapa leta evidence mlipotenga tuone.
The good thing those slums has better road connections than your top cream neighborhoodsπ.The good thing you accept slums as part of your city planningπ
Jitahidini mpeleke maji na waste water services sasa.
Yet I live better than you. Iβm also sure I have got more money than you, so tell me Mr. Busybody, what have you achieved to compare yourself with me?Kweli wewe ni jobless asubuhi,mchana,jioni,usiku upo jf
Nyumbu trucks that havenβt even passed the road test approval? Ebu tuonyeshe hiyo nyumbu ikiwa barabarani and I will show you a Kenyan underground cityππ.We have wholly made vehicles in Tanzania that are operating as we speak Nyumbu trucks now show us any BJ60 in operation in Kenya.
Tuanzie hapo kwanza kabla hatujaendelea na mada ya automotive industry π
Yet Dar is Slum only have 400km of tarmacked roads in comparison to 7,000km of Nairobiβs. Arenβt you not ashamed that hata Turkana imeshinda Dar is Slum in terms of road network?ππDar es salaam yenyewe inakula infrastructure za 1bn dollars as we speak ingekuwa majengo ya high rises tungejenga mangapi? Lakini kupanga ni kuchagua hatuwezi tukajenga magorofa marefu halafu hapo chini barabara ya tope kama huko kwenu ππ€£π€£π€£
That railway line will be final mail to Dar port coffin. Ama unadhani Zambia, Malawi na DR wataacha bandari that is closer to USA and UK wakijaribu kwa Hilo bandari lenu inefficient that need going around Africa ndio ufike USA? When that railway comes to fruition Tanzania will be doomed.Alafu Kuna ujenzi wa reli mpya kutoka Angola kuja Congo kuunga Zambia na Tanzania. Unaitwa "Corridor do Lobito" Phillip Mpango na maraisi wote walikutana Angola na Raisi wa Marekani Kwa ajili ya huo mradi. Mambo ni moto,π₯π₯π₯π₯
Jamaa anaongelea number of passengers passing through Arusha Mabati rolling Mill wewe unaongelea picha, picha itaongeza idadi ya wasafiri?ππNimewaambia kuna huyu katokea UTOPIA ona picha zake anazoweka sasa.
Treasury will pay.Kumekucha huku π€£π€£π€£
![]()
SGR loan default puts Kenya Railways on spot
The corporation accumulated Sh41 billion in repayments and charges.www.the-star.co.ke
Wewe shuka, umedandia mada. We must know the names of Tanzanian leaders wakati Mimi hapa hata makamu wenu wa Rais simjui jina wakati wewe hapo na vilaza wenzako mnajua mawaziri wetu wote hadi magavana na manaibu wao woteTanzania sio Rwanda wala Uganda, sisi ndiyo baba wa East and central Africa, so you must know the names of Tanzanian leaders.
The only known leader known by at most 0.5% of Kenyans I think is their President. Kwao wanajua all the spouses of Kenyan governorsπ€£π€£πWewe shuka, umedandia mada. We must know the names of Tanzanian leaders wakati Mimi hapa hata makamu wenu wa Rais simjui jina wakati wewe hapo na vilaza wenzako mnajua mawaziri wetu wote hadi magavana na manaibu wao wote
π πFirst time I heard you say that β¦ you must have applied this yearβ¦π€£π€£π€£β¦. Good luck β¦ watchmen make good money here but you have to give up your rungu β¦π
So you wanted the minister of finance to be a Luo in every government? Is that your thinking? How about Kurians, Pokomos, Kambas, Maasais, Taitas? Ama huko kwenu Tanganyika kila kabila limepewa nafasi kuwa na waziri wa fedha?Hahaha
Kama umevamia msitu na kiwembe ukitegemea kuvuna mbao ni ufala wako tu huo. Karibu kwenye battle... Tunatumia every means in full force kuponda vichwa vya kondoo type yako.
Hongereni bhanaa... Nasikia kwa mara ya kwanza toka kunyaland imeumbwa... Ndio saa hii pesa za Nchi zote zinalala homabay kwa jaluos... Hahaha jaluo