game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,332
Then why is your fifa lower ranked national team playing home games in Malawi ?Pole sana fala, renovation ya Kasarani Stadium is $30M, twice that of Makwapa.
Then why is your fifa lower ranked national team playing home games in Malawi ?Pole sana fala, renovation ya Kasarani Stadium is $30M, twice that of Makwapa.
Inamaana kama serikali inawekeza mabillion ya pesa kwenye ujenzi inashindwa Nini kununua mashine?Bandari haimilikiwi na DP world au andani group kwa ninvayoelewa wao uwekezaji wao ni kwenye machines na vifaa i think hvyo anyways hio ni POV yangu
Nyie SI mnafanya full makaratasi yaliyotoboka?We don’t do full mabati structures.
International Stadium ya kuchezea mechi za ndondo…….😅😅Kirinyaga international stadium , kmmq wakunya ni Clowns tupu 😀😀😀View attachment 3169783
Bagamoyo Port nilikuwa namlaumu magufuli Kwa kuupiga chini lakini Hadi mama alipoingia madarakani alipojaribu kuurejesha uozo alokutana nao Hana hata hamuHuu upuuzi wa US umechelewa sana saahii construction of facilities is in full swing! Hata kule Lobito corridor Mchina is in control within DRC n TAZARA is to be revived! Pata picha kama mradi wa Bagamoyo port ungekuwa unaendelea!
sasa wanafanya nn EA common market?Wahurumie mzee hawana options nyingine, Tanzania ina option nyingi za kugenerate mapato zaidi Kenya na haizitumii kisawa sawa. Ila Kenya ina option chache ila inazitumia vizuri.
Sasa hizo option chache unakuta Mbongo analeta mkwanja wa maana kweli kweli. Unataka wafanyaje imagine mkwanja wa mbongo unaibeba sekta yote mfukoni. Si watalia na kusaga meno. Ndio wanajihami.
Ndio maana ni rahisi Tanzania kuendelea bila taabu ikipewa protectionism or ban na Kenya kwenye bidhaa ila ni ngumu Kenya kutoboa ikila Ban or protectionism.
Refer Sakata la Ndege tu.
You should post that word in quotes…🤣🤣……gona look more developed, Key words, Look developed 😀😀😀
View: https://x.com/nchapietv/status/1864390523122835617
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1864382524631187797
MY TAKE
Kundurenda Teargas, NairobiWalker n mwathadan mko wapi? Kama Savannah group wana muscles za ku-compete waje wafungue cement plant Tanzania! Na si protectionism moves za kipumbavu na hawana fedha! Hawa Savannah group ni utapeli tu hamna chochote!
View: https://x.com/lawrencekitema/status/1862161684317471061
It’s time now Bakhresa Group iende kufungua milling plant yake Mombasa baada ya frustration za kipuuzi za utawala wa Kenyatta!
Ila Ruto yupo fair aisee hii maneno kama ingekuwa kipindi cha Uhuru sahau! Refer how Bakhresa was treated when trying to establish a milling plant in Mombasa!Sasa rasmi tunakamata soko lao la construction 😁
We mzee wa DV lottery upo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣You should post that word in quotes…🤣🤣
Hiyo Isiolo International Airport ina qualify kuwa market huku kwetu maana haifikii hata levels za bus stations zetu.This international stadium lmao 😀😀😀
By the way , I find this kirinyaga thing fun , sijui maana yake , but how do you call a place kirinyaga 😀😀😀View attachment 3169753
First time I heard you say that … you must have applied this year…🤣🤣🤣…. Good luck … watchmen make good money here but you have to give up your rungu …😂We mzee wa DV lottery upo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio kwamba yuko fair mkuu bali FDI zimekauka huko dollar hamna madeni luluki economy in the doldrums moja haikai mbili haikai wanalazimika kukubaliana na mziki wa Tz angalau wapate chochote kitu.Ila Ruto yupo fair aisee hii maneno kama ingekuwa kipindi cha Uhuru sahau! Refer how Bakhresa was treated when trying to establish a milling plant in Mombasa!
Politicians take you guys for a ride cause they know that you are all blinded by that ukabila shit hamchomoki hii pekee ni assurance ya kura kwao.It’s not regular Kenyans … it’s Politicians trying to gain an extra political mile out of a situation even when it’s taxpayer funded… Kenya Politics huwezani nayo …forget international, soon utaona “Solar System stadium “… Lakini Wakenya tumezoea Ujinga wa Politicians and we are about to end that nonsense…
Ulitaka wacheze in a stadium being renovated? Is your family this dense or is just you? Are your children dense like you?Then why is your fifa lower ranked national team playing home games in Malawi ?