much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
Mwai of kibera uko pouwa?It’s coming in 2027!… mark it on ur calendar… just 21/2 years to go ..
Mwai of kibera uko pouwa?It’s coming in 2027!… mark it on ur calendar… just 21/2 years to go ..
zilikufa zote in just 1 year 😂😂😂Kwani hawana scanners at their stations?
Kichukue basi ukiweke mfukoni maanake unakipigania sana..Mbwa nyie mkishindwa mnatafuta excuse eti kiarabu. Mkiona kinasifiwa mnajikuta eti chenu.
Hebu Tupishe uongo wenu unawaumbua tu. Kiswahili is Tanzania Language na ni lugha yetu. Apart Tanzania nani mwingine anajua kiswahili sanifu kuzidi Tanzania?
Kuanzia Muziki, Fasihi (Literature), Utamaduni, utafiti na kukikuza, most native speakers, vyote vipo Tanzania alafu unawashwa eti kimetoka Kenya mpo mnastruggle.
Kila lugha inatohoa maneno toka lugha nyingine kiarabu ni 20% kwenye kiswahili, Mostly ni Bantu, unaufahamu hata kiswahili kina maneno yaliyotoholewa kwenye Kireno, Kiajemi, Kihindi, Kiingereza, kijerumani.
KISWAHILI NI KIBANTU FULL STOP. Unless hujui hata lugha ni nini?
Kutohoa maneno hakufanyi iwe lugha nyingine, nionyeshe lugha ambayo haijawahi tohoa maneno kwa lugha nyingine.
Hao mijikenda wamekuja kujulikana baada ya zaidi ya miaka 100 ya kujulikana,hivi unajua kilwa ndio sehemu pekee TZ wakazi wa huko hawana lugha nyingine ya asili zaidi ya kiswahili?Kabila lq Mijikenda wanaongea kiswahili kama lugha asili
Anafikiri kutokujua jambo ndo ujanja kumbe ni ujinga na ushamba.Mambo ya kizamani haya achana nayo ushazeeka wewe, kwani unadhani ni sifa kuwa hujui mambo? Ni ujinga watchman wewe.
Do you have steel manufacturing factory in Tanzania?
We nae kwani mara ngapi hadi humu tunapingana nae? Alafu must go kwa lipi sasa?Jaribu hii hapo bongolala hutopatikana the next day.
Enda kwa show ya mwanamziki maarufu ama club muanze kuwika Samia Must Go muone kama hicho club hakitafungwa na watu kadhaa kupotea. Ama unadhani hatuijui Tanzania?We nae kwani mara ngapi hadi humu tunapingana nae? Alafu must go kwa lipi sasa?
Sawa.Miradi ya mabilioni kama hii haiangalii figisu bali feasibility! Ni kosa kufikiria Magufuli alibadili maamuzi ya wapi bomba lijengwe!
Kenya watu hawapotei?Enda kwa show ya mwanamziki maarufu ama club muanze kuwika Samia Must Go muone kama hicho club hakitafungwa na watu kadhaa kupotea. Ama unadhani hatuijui Tanzania?
Ruto spoke English. If you know you know.Niliwaambia mnionyeshe penye Ruto alisema Tanzania imeshinda Kenya in every aspect mkalemewa. Baba Lego said that Nairobi is far better than Dar and I can bring the clip lakini there is nowhere Ruto said Tanzania is better than Kenya in every aspect vile mnajaribu kuongeza chumvi.
Sasa kwa nini tuwaige nyie nyang'au?😁Enda kwa show ya mwanamziki maarufu ama club muanze kuwika Samia Must Go muone kama hicho club hakitafungwa na watu kadhaa kupotea. Ama unadhani hatuijui Tanzania?
What are you implying? Club kwenu mnaenda kisiasa?Enda kwa show ya mwanamziki maarufu ama club muanze kuwika Samia Must Go muone kama hicho club hakitafungwa na watu kadhaa kupotea. Ama unadhani hatuijui Tanzania?