Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Buy Kenya build Kenya.

Body by Banbros.

1733157727798.jpeg
 
Hiki kimbelembele cha Kundustans huwa Tanzania pekee in the EA region hukiweza! Nakumbuka kipindi cha kugombania bomba la Mafuta la Uganda mawaziri wa Kundustan wakina Peter Keter walikuja Tanga kama muendelezo wa fitna za Kenyatta Paris wenyewe wakiziita shuttle diplomacy in trying to win back the project!

Kilichowatokea walibaki wakilalamika the whole month!



Kwanza walivyotua na chopper wakaambiwa wame-land bila kibali na passport zao zikawa-confiscated immediately! Wakashikiliwa mpaka delegation ya Uganda ilipomaliza kilichowaleta Tanga! Museveni is letting me down!


View: https://youtu.be/UrBkAg_GNgE?si=RA8iYjFzfWX0qo1j

This is not enough…

View: https://youtu.be/mMQ6duTjoXM?si=owrJm6x7AWujhyve


BTW kuna hii issue pia!

View: https://youtu.be/J0GN0VG4XqI?si=yJwyzUIDhXJF0bO-

kumbe umekiri tulikua tunagombea na pia umekiri kulikua na fitna kubwa sana

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

naomba nitunze hii risiti plz
 
Kuna hotel moja nilipata kukaa kwa siku chache nearby O.R Tambo miaka hiyo, kitu kimojawapo kilichonivutia jamaa kila mti uliopo eneo lao una tag, na hiyo tag ina jina la mti wenyewe kisayansi na kiingereza, mandhari yake ilikuwa ni nzuri sana, ilinichukua muda kusoma mti baada ya mti, wish tunge-adopt this kwenye maeneo yetu muhimu, mwishoni lazima uwe very calm nature hutibu mioyo, nafsi mwili na akili.
Mbona hii ipo pale Azania sec school, unakuta miti ina hizo tag zenye jina la mti kisayansi na kingereza.
 
Ndiyo watajinyonga kabisa kama mkuu wao wa nchi anakiri hadharani wamepitwa na Tanzania lakini bado kuna mbuzi za kibera zinabisha ambazo hata kula yenyewe ni changamoto unategemea kuna watu hapo kweli
Inabidi tumpe tour ya airports Tanzania, aje bara pia aje atembelee Msalato, Kilimanjaro, Bukoba, Arusha, Mwanza na Songwe airports then Iringa, Tabora, Shinyanga, Musoma, Kigoma, Mpanda, Sumbawanga, Mtwara na Lindi esp. zitakapokamilika!
 
Chokoraa unayaamini maneno ya mropokaji baba levo,then hutaki kuamini maneno ya rais wako!
Niliwaambia mnionyeshe penye Ruto alisema Tanzania imeshinda Kenya in every aspect mkalemewa. Baba Lego said that Nairobi is far better than Dar and I can bring the clip lakini there is nowhere Ruto said Tanzania is better than Kenya in every aspect vile mnajaribu kuongeza chumvi.
 
Back
Top Bottom