Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Twende na mada moja moja tujadili..Kwani ni uongo ati bado iko kwa foundation? To make it worse it’s a mini stadium.
Uwanja wa Arusha umeishia kwene kupima udongo.? Au umekubali kwamba upo U/C .? au unataka tujadili ukubwa wake.? 😂😂😂😂