Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamani wacheni angalau wapumue sio poa kwa vitasa hivi




Wewe NairobiWalker ulikua ukibeza kwamba uwanja haujengwi na juzi uliuulizia, vipi haujaona hizi post leo.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Watu washafikisha 3rd floor nyinyi bado mnapigia kelele foundation. Kweli mtanzania atabaki kuwa mjinga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Naskia hamuandai CHAN 2024, andaa viti vya Bar upya for Kasarani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

December 31 ni keshokutwa tu. Viti vya baa vinaweza saidia kujazwa fasta.

Yaani mwaka mzima mmetoa macho tu November ndio mnajifanya kukarabati NYAYO STADIUM ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Naskia hamuandai CHAN 2024, andaa viti vya Bar upya for Kasarani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

December 31 ni keshokutwa tu. Viti vya baa vinaweza saidia kujazwa fasta.

Yaani mwaka mzima mmetoa macho tu November ndio mnajifanya kukarabati NYAYO STADIUM ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Endelea kusikia. We will hold CHAN mpende msipende.
 
Hao multinational wanaweza fikiria ikiwa tukiwa na offer nzuri. Sababu EACOP ikiwa proposed Kenya ni kwa Sababu ya COALITION OF WILLING (COW) kuiepuka Tanzania kinamna kuanzia vita ya KIKWETE NA KAGAME, Ugumu wa TZ kuingia mikataba ya pamoja kupitia EA.

Hivyo Nyang'au akaitumia vizuri kujipostion kupata vyote wanavyotaka, kuanzia kupitisha mizigo, Miradi ya pamoja.

Mzee akaingia FIGISU ZIKAANZA.

Hata mama akiamua kwa kushirikiana na Museveni ukitumia mgongo wa EAC ni rahisi tu.

I tell you Bro wanasiasa wanachangia maana hilo ni suala la kitaifa ikiwa hamuelewani nchi na nchi hata multinational hana namna.
Miradi ya mabilioni kama hii haiangalii figisu bali feasibility! Ni kosa kufikiria Magufuli alibadili maamuzi ya wapi bomba lijengwe!
 
Murkomen haja wahi kufanya kitu tangible...

Mbona kapigwa ban ya kuingia kwa kina Trump?
Mnajua hadi Murkomen, waziri wetu wa michezo huko Mimi hapa hata ukiniuliza jina ya makamu wenu wa Rais sitapata jibu
 
Wewe si ndio uliesema kwamba uwanja wa Arusha umeishia kwene kupima udongo.? Arenโ€™t you.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sahii unapewa risiti zako, unageuza maneno. Jinga kweli.
Kwani ni uongo ati bado iko kwa foundation? To make it worse itโ€™s a mini stadium.
 
Back
Top Bottom