The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,534
Kwani Tesla si hata Millard Ayo anayo?
Kwani Tesla si hata Millard Ayo anayo?
Yes it did but it corporates foreign Arabic words… the word Swahili itself is Arabic in nature… my point is, its not fully African per se ….as some Bongolalas here sometimes claim ..You do realize Swahili originated in Kenya right?
Do you really wanna go there?.. even the word “Swahili” is not African … prove me wrong…We nani kakudanganya kiswahili ni foreign language!??
Huu upupu umeusoma wapi!?
Mbona Oman hawajui kiswahili kama ni lugha kutoka kwao?
Mbwa nyie mkishindwa mnatafuta excuse eti kiarabu. Mkiona kinasifiwa mnajikuta eti chenu.Do you really wanna go there?.. even the word “Swahili” is not African … prove me wrong…
Huna elimu hiyo, ni bora ukae kimya. 😂😂 ukiwa mtu mzima jaribu kunyamaza kama kitu hujui, ili usionekane mpumbavu.Do you really wanna go there?.. even the word “Swahili” is not African … prove me wrong…
Unajua maana ya utohoaji!?Do you really wanna go there?.. even the word “Swahili” is not African … prove me wrong…
No wonder watalii wanavutiwa zaidi na Tanzania kuliko nchi zote East and central Africa.USWAZI left right and center.
Afcon wageni watapigwa na butwa wakiland hapo.
Tunatengeneza airport city pale msalato Dodoma, Tanzania sio Kenya mzee kila ktu Nairobi, angalia Dodoma hii na hapo sio msalato ni old airport 👇👇😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥Holy Moly!…the so called “New York” of Africa…😂😂… that view before landing….!… Bongo has a very long way to go … first time visitors must be wondering, where the hell is the pilot landing?….😂😂…. Now compare similar view for JKIA Nairobi…. It’s like night and day…
You better stop living in utopia.It’s coming in 2027!… mark it on ur calendar… just 21/2 years to go ..
Again you are acting God.It’s coming in 2027!… mark it on ur calendar… just 21/2 years to go ..