Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu tag zetu tunazi-advance kdg tunapiga na ki-barcode kidoogo ukiscan hiko unapata taarifa za kutosha kuhusiana na huo mmea, unahakikisha material yako yanakuwa tu eco friendly, kwisha 😀
Mimi sijui ile Botanical garden kwa nini imetelekezwa kabisa pamoja na kuwa karibu na ikulu vile.
Kwanza lile eneo lote lilipaswa kuwa la tourism. Kuanzia museum ( waache kutoza laki tano kuchukua video), hiyo ikulu yenyew ingefanywa museum tu.
Mtalii anatembelea city Centre anatembea kuanzia askari monument, anavisit historic Azania front Cathedral, anatembelea st Joseph Cathedral, anaview port ya Dar na german boma, anaingia ndan ya museum ya sasa na hiyo ikulu, anavisit botanical garden ananyoosha mpaka beach. Gymkana inaweza boreshwa nayo, wengine wanaweza tembelea kisutu ile wakafeel old Dar nk.
Hayo majengo ya kizamani yasiyo na watu city Centre mfano yale karibu na mahakama kuu na wizara ya ardhi na mengine mengi yasiyo na watu yangegeuzwa restaurants zenye several dishes including all Tanzanian food, bars, nightclubs, na mengine hostels na Airbnbs.

Wahakikishe eneo lote linakua walkable, zile sidewalks zisambae posta yote na waondoe Boda na bajaji city center

Watu wanaweza tembelea dar kwa hayo tu na tukapata hadi watalii million kwa mwaka kwa kisehemu hiko tu. Utalii si lazima iwe beach au Mbuga za wanyama.
Barcelona inatembelewa na watu million 30+ na sio kwamba wana simba kule ni citu tourism tu. Watu wanatembelea Barca kula tu Spanish food.
 
Only 20-35% of Swahili is of Arabic origin, whereas 50-60% of English is of French/Latin origin. According to your logic, we're actually speaking a French dialect here. Also, the only reason why Swahili has so many Arabic loanwards is because Arabs and Arabic culture was dominant in the region for over a millennium. Yet despite that, Kingozi didn't die or abandon its African roots. In fact it was the Arabs who abandoned Arabic for Swahili when they migrated to the land of the Zenj. Swahili is an African treasure and Kenyans should be proud of what Tanzania has done with it. Coz if it was up to y'all, Swahili would be well on its way to extinction.
Mzee unaingia kwa mkenge nini? Hakuna cha kingozi hapo. Unless hujui Maana ya Lugha, look up hao waarabu walitua wapi for the first time hapa EA kama Si kilwa, then kama kiswahili kilianza lamu how come Lamu ni insignificant kwenye interaction za Arabs compared to Kilwa and Zanzibar.

Hao wasikupotoshe hamna kitu kwenye swahili maana hawakijui hata. Full kustruggle.

Cause lugha zao not compatible na kiswahili.

I tell you unaweza kuelewa baadha ya makabila ya Tz kupitia kiswahili ila nenda kwa wenzetu kizungumkuti.

Huoni wanakwambia eti binadamu wa kwanza alianzia kwao while hata eneo no body know comparing to Olduvai Gorge.

Hawajaanza leo hao. Uzuri daily wanazidi umbuka.
 
Mimi sijui ile Botanical garden kwa nini imetelekezwa kabisa pamoja na kuwa karibu na ikulu vile.
Kwanza lile eneo lote lilipaswa kuwa la tourism. Kuanzia museum ( waache kutoza laki tano kuchukua video), hiyo ikulu yenyew ingefanywa museum tu.
Mtalii anatembelea city Centre anatembea kuanzia askari monument, anavisit historic Azania front Cathedral, anatembelea st Joseph Cathedral, anaview port ya Dar na german boma, anaingia ndan ya museum ya sasa na hiyo ikulu, anavisit botanical garden ananyoosha mpaka beach. Gymkana inaweza boreshwa nayo, wengine wanaweza tembelea kisutu ile wakafeel old Dar nk.
Hayo majengo ya kizamani yasiyo na watu city Centre mfano yale karibu na mahakama kuu na wizara ya ardhi na mengine mengi yasiyo na watu yangegeuzwa restaurants zenye several dishes including all Tanzanian food, bars, nightclubs, na mengine hostels na Airbnbs.

Wahakikishe eneo lote linakua walkable, zile sidewalks zisambae posta yote na waondoe Boda na bajaji city center

Watu wanaweza tembelea dar kwa hayo tu na tukapata hadi watalii million kwa mwaka kwa kisehemu hiko tu. Utalii si lazima iwe beach au Mbuga za wanyama.
Barcelona inatembelewa na watu million 30+ na sio kwamba wana simba kule ni citu tourism tu. Watu wanatembelea Barca kula tu Spanish food.
Now afadhali kuna mtu anaona. Bongo nyoso. Kuna pesa everywhere ila kuna mijitu imekomaa na matozo tu.
 
Mimi sijui ile Botanical garden kwa nini imetelekezwa kabisa pamoja na kuwa karibu na ikulu vile.
Kwanza lile eneo lote lilipaswa kuwa la tourism. Kuanzia museum ( waache kutoza laki tano kuchukua video), hiyo ikulu yenyew ingefanywa museum tu.
Mtalii anatembelea city Centre anatembea kuanzia askari monument, anavisit historic Azania front Cathedral, anatembelea st Joseph Cathedral, anaview port ya Dar na german boma, anaingia ndan ya museum ya sasa na hiyo ikulu, anavisit botanical garden ananyoosha mpaka beach. Gymkana inaweza boreshwa nayo, wengine wanaweza tembelea kisutu ile wakafeel old Dar nk.
Hayo majengo ya kizamani yasiyo na watu city Centre mfano yale karibu na mahakama kuu na wizara ya ardhi na mengine mengi yasiyo na watu yangegeuzwa restaurants zenye several dishes including all Tanzanian food, bars, nightclubs, na mengine hostels na Airbnbs.

Wahakikishe eneo lote linakua walkable, zile sidewalks zisambae posta yote na waondoe Boda na bajaji city center

Watu wanaweza tembelea dar kwa hayo tu na tukapata hadi watalii million kwa mwaka kwa kisehemu hiko tu. Utalii si lazima iwe beach au Mbuga za wanyama.
Barcelona inatembelewa na watu million 30+ na sio kwamba wana simba kule ni citu tourism tu. Watu wanatembelea Barca kula tu Spanish food.
Uko sawa sana Mkuu
 
Mimi sijui ile Botanical garden kwa nini imetelekezwa kabisa pamoja na kuwa karibu na ikulu vile.
Kwanza lile eneo lote lilipaswa kuwa la tourism. Kuanzia museum ( waache kutoza laki tano kuchukua video), hiyo ikulu yenyew ingefanywa museum tu.
Mtalii anatembelea city Centre anatembea kuanzia askari monument, anavisit historic Azania front Cathedral, anatembelea st Joseph Cathedral, anaview port ya Dar na german boma, anaingia ndan ya museum ya sasa na hiyo ikulu, anavisit botanical garden ananyoosha mpaka beach. Gymkana inaweza boreshwa nayo, wengine wanaweza tembelea kisutu ile wakafeel old Dar nk.
Hayo majengo ya kizamani yasiyo na watu city Centre mfano yale karibu na mahakama kuu na wizara ya ardhi na mengine mengi yasiyo na watu yangegeuzwa restaurants zenye several dishes including all Tanzanian food, bars, nightclubs, na mengine hostels na Airbnbs.

Wahakikishe eneo lote linakua walkable, zile sidewalks zisambae posta yote na waondoe Boda na bajaji city center

Watu wanaweza tembelea dar kwa hayo tu na tukapata hadi watalii million kwa mwaka kwa kisehemu hiko tu. Utalii si lazima iwe beach au Mbuga za wanyama.
Barcelona inatembelewa na watu million 30+ na sio kwamba wana simba kule ni citu tourism tu. Watu wanatembelea Barca kula tu Spanish food.
Bro umeongea crucial point.
 
Back
Top Bottom