Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
Unaweza pita number 1 kabla upite number 2? Una kichaa wewe?Mbona wasi-surprase Kundustan yenye njaa?
What are you trying to write bwana Methuselah.Mbona wasi-surprase Kundustan yenye njaa?
😂😂😂Unaweza pita number 1 kabla upite number 2? Una kichaa wewe?
Glad umekuja mwenyewe 😂😂 sasa fanya hivi, chukua hizi 👇🏾
Point zimeongezeka mkuu na kuna nafasi za kupanda.kuongezeka sana hapana itategemea ni hatua gani tutafika kama ni yale yale yakuishia makundi basi ujue hatutopanda sana
Mbona hiyo haziko kwa plan yao? Ama wewe uko na plan yako yenye unajua pekee yako?😂😂😂😂
View: https://x.com/InfraUganda/status/1859561159004708873
Zote zipo kwenye mpango wa misaada ya vyakula wa WFP.😂😂😂😂😂😂😂
Mko na 10,000km wewe baboon😂😂😂. 10,000km za Tanroads plus 3,000km za TARURA when the total is rounded off mnarudi 10,000km😂😂Glad umekuja mwenyewe 😂😂 sasa fanya hivi, chukua hizi 👇🏾View attachment 3158041changanya na hizi. 👇🏾View attachment 3158043.. hesabu itakuja hivi.
TARURA 3,337 km lami
TANROADS 13,660 (2021 complete data)
3,337km+13,660km= 16,997. = 17,000 km.
Hivyo basi kwa data tu za Tanroads za 2021 + data za TARURA 2023. Ni dhahiri shahiri ya kwamba kuna barabara za lami 17,000km in Tanzania. 😂😂😂
Me nilishamaliza kuweka sawa we endelea kutanga tanga sasa😂😂😂Mko na 10,000km wewe baboon😂😂😂. 10,000km za Tanroads plus 3,000km za TARURA when the total is rounded off mnarudi 10,000km😂😂
Anapenda ubishi usio hata na sababu.Me nilishamaliza kuweka sawa we endelea kutanga tanga sasa😂😂😂
Kwani kuna mwenye aliwadanganya mko na enough electricity?😂😂😂
View: https://x.com/cobbo3/status/1859244640630653379