Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii TARURA ama ?😂😂😂👇👇👇

View attachment 3157929
🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 No comment

1732195844421.png
 
Iba picha nyingine upost maanake hujiamini kujipost mwenyewe.
Huyo hawezijipost, unaezapata hata koti hajaivaa before😂😂.

Kazi ni kuiba picha internet, hajui in this era it’s very easy to know downloaded picture😂😂
 
Tanzania imepakana na nchi nane, tukiwatoa nyinyi na Uganda zinabadi nchi sita, they all depend on us. Tunao mtandao mkubwa wa reli kuliko nchi zote za Africa mashariki zikiunganisha reli zao. Tunajenga SGR to link mataifa muhimu mfano Congo, sasa tuumie kisa nini nyinyi mkiunga Uganda budaa.? Mbona wewe ni mpumbavu mmoja.? 😂😂😂
Ndoto yake 2060 reli yao italink drc kupitia uganda na rwanda,yule jamaa ni chizi
 
Back
Top Bottom