Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

+255 🇹🇿 Si MchezoTunaBarsZetuHakunaAnatugusa💪🏾💪🏾
8E3543D9-DA2D-4F85-A10D-B89BC4AD07BC.jpeg
 
Pole kwa hasira. JKIA is the leading airport in Africa and KQ is the leading airline in Africa. Sasa ukipenda upige nduru😂😂
Acha uongo nilikuwa kwenu juzi tu hadi wafanyakazi wa JKIA wenyewe wanatii Julius Nyerere T3 ni noma, bado Msalato hapo…Kenya mmesimama, mnapigwa mikasi tu na tax za Zakayo.Anachagua pakuweka, si mlikataa financial bill, amekuja kivingine kimya kimya, ni mwendo wa kodi kausha damu, kazi mnayo 😂
 
Acha uongo nilikuwa kwenu juzi tu hadi wafanyakazi wa JKIA wenyewe wanatii Julius Nyerere T3 ni noma, bado Msalato hapo…Kenya mmesimama, mnapigwa mikasi tu na tax za Zakayo.Anachagua pakuweka, si mlikataa financial bill, amekuja kivingine kimya kimya, ni mwendo wa kodi kausha damu, kazi mnayo 😂
Ingekuwa Mabati rolling mill ni no a basi mbona hawakupata tuzo la the best airport in Africa? Na hao wafanyikazi wenye walitii ni akina nani? Ebu wataje tuwajue.
 
Back
Top Bottom